Radio Tadio

Afya

7 March 2024, 10:33 pm

Amuua kwa madai ya kugoma kurudiana nae

Matukio ya wanadoa kutarakiana wakiwa wanapendana yamekuwa chanzo cha mauaji kwa wanawake kutokana na wanaume kushindwa kuvumilia hali hiyo, ambapo kwa wilaya ya Sengerema zaidi ya matukio matatu yametokea kwa mwaka huu. Na:Emmanuel Twimanye. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka…

1 February 2024, 3:12 pm

37 wakutwa na kipindupindu Sengerema

Licha ya SerikaliĀ kutoa vifaa tiba na kinga vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 7 kwenye mikoa mitatu ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na dawa za kutibu maji kwa kuua wadudu wenye vimelea…

31 January 2024, 7:05 am

BMH yafanikiwa kupandikiza Uroto kwa watoto 7

Itakumbukwa kuwa Serikali ya awamu ya sita iliidhinisha Shiling Bilioni 3.6 kwa kuwezesha kutolewa kwa huduma za upandikizaji wa uroto kwa Watoto wenye selimundu huku zikitengwa Shiling Bilioni 1 kwa ajili ya kutoa kwa Watoto bure. Na Yussuph Hassan.Hospital ya…

30 January 2024, 2:13 pm

Taka zarundikwa kwenye makazi ya watu mjini Sengerema

Mji wa Sengerema kwa mda mrefu umekuwa ukionekana kuwa na mrundikano wa uchafu kwenye vizimba vilivyopo mjini ambapo Halmashauri imekuwa ikitumia vibarua kuzizoa na baadhi yao wamekuwa wakitoa kwenye vizimba na kwenda kuzimwaga kwenye makazi ya watu. Na:Emmanuel Twimanye Wakazi…

29 January 2024, 8:00 pm

Kipindupindu chatajwa kuwakumba wanawake zaidi nchini

Kipindupindu unatajwa kuwa ugonjwa hatari ambao huambatana na kuharisha na kutapika huku ikielezwa kuwa ni asilimia 10 tu ya wagonjwa wanaopata kipindupindu na kulazwa hospitali huku wengine wakitembea na vimelea vya ugonjwa huo. Na Mariam Matundu.Wanawake nchini Tanzania wanatajwa kuongoza…

29 January 2024, 18:39

Mafanikio mapya hospitali ya rufaa Kanda ya Mbeya

Na Ezekiel Kamanga Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya jana imefanya hafla fupi ya kuwakaribisha madaktari bingwa na wauguzi ambao walikuwa masomoni. Hafla hiyo iliandaliwa katika bustani ya Mbeya Peak na kuhudhuriwa na viongozi wa hospitali na wafanyakazi wa…

28 January 2024, 12:55 pm

Wachimbaji na wavuvi hawatumii vyoo kisa imani potofu

Makundi ya wachimbaji na wavuvi yako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko hususani kipindupindu kwasababu hawatumii vyoo kwenye maeneo yao. Na Mrisho Shabani: Wachimbaji wa madini ya dhahabu pamoja na wavuvi mkoani Geita wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi ambayo hayana…