Elimu
6 February 2024, 10:54
Rungwe yafanya tathmini ya matokeo ya mitihani ya taifa 2023
Na mwandishi wetu Tathmini ya matokeo ya Mtihani wa taifa kidato cha pili na nne kwa mwaka 2023 imefanyika leo tarehe 2.2.2024 uliwakutanisha Viongozi kutoka idara ya elimu, wakuu wa shule za sekondari 45 Maafisa elimu kata kutoka katika kata…
5 February 2024, 5:17 pm
Wafanyabiashara,wakulima na wafugaji Manyara watakiwa kuwa na bima .
Tira yawashauri wafanyabiashara, wakulima, na wafugaji kuwa na bima ili panapotokea majanga wafidiwe mali zao. Na Mzidalfa Zaid Wafanyabiashara, wakulima na wafugaji Mkoani Manyara wametakiwa kuwa na bima ya biashara ili inapotokea matukio ya kuathiri mifugo au mazao iwe rahisi…
5 February 2024, 13:29
watoto wenye uhitaji maalum waomba kutatuliwa changamoto zao
Watoto wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Nengo iliyoko wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo uhitaji wa taulo za kike hasa kwa wasichana hali ambayo wakati mwingine hupelekea kukosa masomo darasani. James Jovin ana maelezo zaidi.
3 February 2024, 7:23 pm
UWT Ludete yawapa tabasamu wanafunzi walioripoti bila sare
Jamii yashauriwa kuendelea kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mrisho Sadick: Wananchi kwa kushirikiana na Jumuiya ya umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Ludete wilayani Geita wamejitokeza kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu…
3 February 2024, 16:47
Kyela:Baadaya ya kimya cha muda mrefu hatimaye shule yanukia Serengeti
Baada ya kukosekana kwa shule za msingi na sekondari hatimaye wakaazi wa kata ya Serengeti hapa wilayani Kyela wanatarajia kuanza ujenzi wa shule baada ya kupatikana eneo. Na Masoud Maulid Kutokana na kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa kata…
1 February 2024, 4:28 pm
Shule zawa chanzo cha mapato halmashauri ya Rungwe
Serikali yandelea kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato ili kuweza kupeleka huduma kwa wananchi. Na mwanahabari wetu Hii ni shule ya Msingi Nuru iliyopo Kata ya Bagamoyo Tukuyu Mjini yenye mchepuo wa kingereza ambayo inatajwa kupanua maarifa na ujuzi kwa wanafunzi…
1 February 2024, 10:11
Nyamori kupata shule ya sekondari kwa mara ya kwanza
Wananchi wa kijiji cha Nyamori kata ya Simbo katika wilaya ya Kigoma wameipongeza serikali kwa juhudi za uboreshaji wa miundombinu ya elimu hasa ujenzi wa shule katika maeneo mbalimbali mkoani Kigoma. Wameeleza hayo wakati wakipokea mifuko 50 ya saruji kwa…
31 January 2024, 9:06 pm
Watoto wenye mahitaji maalum hawatakiwi kufichwa ndani
Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…
30 January 2024, 22:16
Kyela:Wanafunzi zaidi ya 40 hawajaripoti Ngonga Sekondari
Wakati mhura mpya wa masomo ukianza rasmi hapa nchini Tanzania zaidi ya wanafunzi 40 hawajaripoti katika shule ya sekondari Ngonga kutokana na sababu zisizotambulika na mamlaka husika. Na Nsangatii Mwakipesile Mtendaji wa kata ya Ngonga Lutufyo Mwangamilo ametoa tahadhari ya…
29 January 2024, 8:59 pm
Serikali kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama jijini Dodoma
Mradi huo unatarajia kuhusisha ujenzi wa vyuo viwili katika eneo la Nala jijini Dodoma Na mkoa wa kigoma. Na Thadei Tesha.Serikali kupitia Wizara ya habari na Teknolojia ya habari inatarajia kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama katika eneo la…