Habari
22 March 2024, 6:38 am
Chama cha Mapinduzi cha shinda udiwani Kata ya Buzilasoga Sengerema
Kata ya Buzilasoga ni miongoni mwa kata 22 za Tanzania bara ambazo tume ya uchaguzi ilitangaza kufanyika uchaguzi mdogo katika kata hizo ambapo mgombea wa chama cha mapinduzi ndiye aliyetangazwa kuibuka mshindi kati ya wagombea wengine nane kutoka vyama tofauti.…
6 February 2024, 11:17
Akutwa na nyaraka za serikali na meno ya trmbo Songwe
Na mwandishi wetu, Songwe Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linaendelea kuimalisha ulinzi na usalama kwa kuishirikisha jamii katika kubaini, kuzuia na kutanzua uhalifu kwa kufanya doria, misako na operesheni ambapo limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa 01 kwa tuhuma za kupatikana na…
1 February 2024, 3:22 pm
Mbunge Maboto akerwa na wizi wa taa za barabarani Bunda
Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Na Adelinus Banenwa Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Ni kauli ya Mhe Robert Maboto Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini wakati…
29 January 2024, 2:38 pm
Mwili uliozikwa kwa kukosa ndugu Bunda wafukuliwa baada ya ndugu kupatikana
Mwili wa mwanamke uliozikwa kwa kukosa ndugu eneo la mtaa wa Tamua kata ya Nyatwali halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara umefukuliwa baada ya wanaodaiwa kuwa ndugu kupatikana. Na Adelinus Banenwa Mwili wa mwanamke uliozikwa kwa kukosa ndugu eneo…
23 January 2024, 8:43 am
Mamba waendelea kuleta maafa Buzimbwe
Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kijiji cha Buzimbwe ameshambuliwa na mamba wakati akioga ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kitongoji cha Majengo kijiji cha…
18 January 2024, 9:29 AM
Hokololo, NBS watoa mafunzo kwa watendaji Mtwara
MASASI Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Mtwara kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, AGNES HOKOLOLO , amewataka viongozi walioshiriki mafunzo ya kujengewa uwezo kutoka Tume ya Taifa ya Takwinu NBS kuyatumia kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo katika maeneo…
17 January 2024, 10:22
Msichana miaka 15 adaiwa kubakwa na mjomba wake Kigoma
Binti mmoja mwenye umri wa miaka 15 ambaye ni mhitimu wa elimu ya msingi mwaka jana amekutana na madhira ya kubakwa na mjomba wake ambaye ni mdogo wa mama yake alipokwenda kumsalimia. Na, Josephine Kiravu Ni binti Zulekha Hussein sio…
15 January 2024, 3:52 pm
Simanjiro: Terrat waomba muda zaidi ujazaji fomu za maombi ya NIDA
Zoezi la siku tatu la ujazaji fomu za kuomba namba za Kitambulisho cha Taifa-NIDA limekamilika katika kata ya Terrat wilaya ya Simanjiro huku wananchi wengi wakishindwa kujaza fomu hizo kutokana na msongamano. Na Joyce Elius. Zoezi hilo la ujazaji wa…
14 January 2024, 20:01
Mamba mla watu auawa Mtera Iringa
Na Moses Mbwambo, Iringa Hivi karibuni Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego, Kuingia kazini kusaka Mamba leo Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania Tawa kwa Kushirikiana na Wananchi wa Kata ya Migoli Halmashauri ya…
9 January 2024, 11:38 pm
Wananchi wahimizwa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
Uchaguzi wa viongozi mbalimbali wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika mwaka huu huku wananchi wakiendelea kusisitizwa suala la kushiriki katika kuchagua viongozi sahihi. Na Thadei Tesha. Mkuu wa wilaya ya Dodoma mh. Jabir Shekimweri amewataka wananchi jijini Dodoma kushiriki kikamilifu…