Dodoma FM

habari za Dodoma

20 December 2023, 3:16 pm

Chinuguli waomba kuongezewa Nguzo za umeme

Licha ya shughuli za ufungwaji wa nyaya za umeme kuendelea katika kijiji hicho  lakini huduma haionekani kuwa rafiki kwa wananchi. Na Victor Chigwada .                                      Wananchi wa Kata ya Chinuguli Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwaongzea idadi ya nguzo za…

16 October 2023, 4:40 pm

Wananchi Dodoma waomba elimu uzalishaji umeme wa jua

Na Alfred Bulahya. Wananchi Mkoani Dodoma wameiomba serikali na wadau wa masuala ya kilimo nchini kuanza kutoa elimu ya namna ya kutumia teknolojia zinazozalisha umeme wa jua ili kuongeza tija zaidi katika kilimo cha umwagiliaji. Wananchi hao wametoa maombi hayo…

9 August 2023, 6:28 pm

EWURA yatoa leseni kwa zaidi ya mafundi umeme 5000

EWURA imeendelea kuwakumbusha Mafundi Umeme kufanya kazi kwa mujibu wa kanuni za Umeme hususani kanuni namba 15, 16 na 17. Na Mindi Joseph. Zaidi ya mafundi umeme 5000 wamepatiwa leseni na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji…

25 July 2023, 4:30 pm

Wamiliki wa mafuta waahidi kutoa ushirikiano wa kusambaza mafuta

Wamiliki hao wameiomba serikali iimarishe upatikanaji wa dola ili zisaidie katika biashara hiyo. Na Fred Cheti. Wamiliki wa maghala ya mafuta nchini wameihakikishia Serikali kuhusu upatikanaji wa mafuta wakisema wana  petroli na dizeli za kutosha  na wapo tayari kutoa ushirikiano…

10 July 2023, 5:32 pm

STAMICO kuanza kuzalisha nishati mbadala

Mkurugenzi  Mtendaji wa shirika hilo Bwana Venance Mwase akizungumza na vyombo vya habari .Picha na Fred Cheti. Matumizi ya mkaa na kuni yanatajwa kuchangia uchafuzi na uharibifu wa mazingira. Na Fred Cheti. Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) linatarajia kuanza…

5 July 2023, 5:08 pm

Wachimbaji wadogo washauriwa kutumia mitambo mipya

Moja ya teknlojia ambayo inatajwa kuwa bora na rahisi mabayo wachimbbaji wadogo wa madini wanaweza kuitumia kuchenjulia dhahabu ni CIACIP. Na Fred Cheti. Wachimbaji wadogo wa madini aina ya dhahabu wameshauriwa kutumia mitambo mipya kwa ajili ya kuchenjulia dhahabu na…

3 July 2023, 5:37 pm

REA yafikisha umeme vijiji vyote 87 Kongwa

Mradi wa kusambaza umeme katika Maeneo ya pembezoni mwa miji awamu ya pili wilayani kongwa umegharimu Bilion Moja Milion miatano themanini na tatu laki nane tisini na tisa elfu mia nne sabini na nane na senti sita 1,583,899,478.06 Na Mindi…

15 May 2023, 7:49 pm

Wananchi waendelea kuhimizwa kutumia nishati mbadala

Miongoni mwa madhara hayo ni pamoja na ukame, mafuriko, vimbunga, mioto ya misitu vimeharibu maisha ya mamilioni ya watu na kuwaweka katika hatari zaidi ya kukabiliwa na njaa. Na Alfred Bulahya. Wakati mataifa yote ulimwenguni yakipambana kuzuia ongozeko la joto…

10 May 2023, 7:24 pm

Wakazi wa Nagulo waiomba Serikali kuwapatia huduma ya umeme

Hivi karibu Serikali kupitia wizara ya Nishati wanakusudia  kuongeza mafungu katika Mfuko wa Nishati Vijijini ili kuongeza kasi ya kufikisha umeme katika vitongoji 36,336 . Na Victor Chigwada. Inaelezwa kuwa nishati ya umeme ni muhimu kwa maendeleo ya jamii ikiwamo…