Uncategorized
27 September 2023, 2:34 pm
Serikali yaombwa kuendelea kutoa elimu juu ya kukabiliana na majanga
Wataalam wamekuwa wakishauri wafanyabiashara, wananchi kufundishwa kukabiliana na majanga ya moto ikiwemo Kuepuka makazi holela, kuhimiza miundombinu ya kisasa pamoja utekelezaji wa sheria upewe kipaumbele. Katende Kandole. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu kwa jamii…
9 August 2023, 3:22 pm
Jamii yaeleza kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya vifaa vya kuzima moto
Jeshi la zimamoto na uokoaji limekuwa kikisisitiza matumizi ya vifaa hivi katika jamii ingawa baadhi ya wananchi wanasema kuwa ipo haja kwa jeshi hilo kuongeza nguvu ili elimu hiyo izidi kuwafikia wananchi wengi. Na Thadei Tesha. Ili kukabiliana na majanga…
7 August 2023, 5:29 pm
Vijana waomba utaratibu mzuri upatikanaji wa fursa
Tarehe 12 Agost ni maadhimisho ya siku ya vijana duniani ambapo pia huadhimishwa kwa kufanya makongamano mbalimbali yenye lengo la kujadili fursa na changamoto zinazowakabili vijana katika maeneo yao. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana jijini Dodoma wameiomba serikali kuweka…
20 July 2023, 4:18 pm
Mashujaa kuadhimishwa kwa mara ya kwanza mji wa kiserikali Mtumba
Mkuu wa mkoa wa Dodoma amesema maadhimisho hayo yamekamilika kwa asilimia 100 ambapo amesisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuadhimisha siku hii muhimu ambayo inafanyika kwa mara ya kwanza katika kiwanja kipya kilichopo eneo la Mtumba. Na Mariam…
4 July 2023, 6:11 pm
Makatibu tawala watakiwa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia utawala bora
Mafunzo hayo ya siku tatu yameandaliwa na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi ya Ungozi yamehusisha Makatibu Tawala wa Wilaya 135 za Tanzania Bara. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa…
26 June 2023, 5:09 pm
Mashirika yasiyo ya kiserikali yatakiwa kutumia fursa zinazojitokeza
Asasi zaidi ya 50 mkoani Dodoma zimenufaika na mafunzo hayo ambayo yanalega kuongeza uelewa na namna ya kujua kujitafutia rasilimali. Na Mindi Joseph. Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yametakiwa kutumia fursa zinazojitokea ili kuifikia jamii kwa ukaribu kupitia utekelezaji wa…
6 June 2023, 6:11 pm
Jamii yaomba elimu utambuzi bidhaa zilizothibitishwa na TBS
Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi pamoja na wafanyabiashara jijini Dodoma wameiomba serikali pamoja na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kutambua bidhaa kama imethibitishwa na TBS. Dodoma Tv imefanya mahojiano na…
25 May 2023, 4:37 pm
SUMA JKT yazindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege
Amewaagiza watendaji wa SUMA JKT kuhakikisha wanasimamia mitambo hiyo ili ilete tija iliyokusudiwa katika kuongeza ufanisi wa SUMA JKT. Na Alfred Bulahya. Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMMA JKT, limezindua rasmi mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege yenye thamani…
16 February 2023, 2:44 pm
Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…
4 July 2022, 1:15 pm
Wauguzi na wakunga waaswa kuepuka kupokea rushwa
Na; Benard Filbert. Wauguzi na wakunga wameaswa kuepuka kupokea rushwa katika maeneo yao ya kazi na kuwahudumia wagonjwa kwa uaminifu ili kulinda na kutunza heshima ya taaluma hiyo. Hayo yameelezwa na Jane Mazigo mkuu wa idara ya usajili na maadili…