Recent posts
26 March 2024, 7:13 pm
Utupaji wa taka ngumu katika mifumo ya maji taka wachangia kuziba kwa mifumo
Mhandishi Aron Joseph akiwa sambamba na wataalamu kutoka Mamlaka hiyo na Viongozi wa kata hiyo kufanya Ziara katika mtaa huo ambao unakabiliwa na changamoto ya kuziba kwa mifumo ya maji taka . Na Seleman Kodima.Utupaji taka ovyo katika mifumo ya…
26 March 2024, 6:42 pm
Waandishi wa habari watakiwa kutoa taarifa sahihi
Mlipuko wa magonjwa unapotokea waandishi wa habari ni nyenzo muhimu ya kutoa taarifa sahihi. Na Mariam Matundu.Waandishi wa habari wametakiwa kuhakikisha usahihi wa Taarifa ili kuepusha taharuki kwa jamii wakati wa magonjwa ya Mlipuko. Hayo yamebainisha Richard Msittu Mkuu wa…
20 March 2024, 7:04 pm
Wananchi waelezea mafanikio ya miaka mitatu ya Rais samia
Ni takribani miaka mitatu imepita tangu kuapishwa kwa rais wa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh samia Suluh Hasan Tareh 19 machi mwaka 2021. Na Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamelezea mafanikio ya miaka mitatu ya uongozi wa serikali…
20 March 2024, 6:18 pm
Adha ya maji yendelea kuwa kero kwa baadhi ya Vitongoji Chiwona
Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya habari kushuhudia adha hiyo ambayo imechangia wananchi kuendelea kutumia maji yasio safi na salama. Na Seleman Kodima.Adha ya kukosekana kwa maji safi na salama kwa baadhi ya Vitongoji vya kijiji cha Chiwona imesababisha wananchi…
20 March 2024, 5:42 pm
Wawekezaji wakaribishwa Idifu kuanzisha miradi mbalimbali
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imekuwa na mpango wa matumizi bora ya ardhi ambapo mpango huo umekuwa ukiratibiwa chini ya mradi wa uwezeshaji usalama wa milki za ardhi unao simamiwa na Serikali kwa kushirikiana na Bank ya Daunia. Na Victor…
20 March 2024, 4:50 pm
Bado tunatazama Ushiriki wa Vijana kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa
Katika kufahamu hilo ,Taswira ya habari imezungumza na Charles Ruben Afisa Miradi wa Taasisi ya DOYODO anaelezea ushiriki wa Vijana katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Mwandishi wetu. Mwaka 2024 Tanzania tutashuhudia Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambapo Vijana…
19 March 2024, 6:57 pm
Ubovu wa miundombinu Ndachi wachangia kupanda kwa gharama za usafiri
Kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha Jijini Dodoma maeneo mengi yenye barabara za kawaida yamekuwa yakiathirika kwa kiasi kikubwa na hata kukwamisha baadhi ya shughuli za maendeleo. Na Mindi Joseph. Ubovu wa miundombinu ya barabara kwa wananchi wa Mtaa wa…
19 March 2024, 6:20 pm
Endeleeni kuitekeleza kampeni ya mita tano usafi wangu usafi wangu mita tano
Kimaro amewataka wananchi kutii sheria bila shuruti kwani sheria ndogo ya jiji la Dodoma inasema mtu asipo jitokeza kwenye usafi wa eneo lake la makazi , taasisi na biashara, faini yake ni kati ya shilingi 50,000-200,000 au kifungo kisichozidi miezi…
18 March 2024, 6:43 pm
Leo tunaangazia umri upi sahihi kwa kijana kuwania nafasi za uongozi wa serikali…
Hizo ni sifa chache tu, lakini leo tumezungumza na mwanamke ambaye ni kiongozi wa serikali ya mtaa wa Mpamaa ili kujua ilikuwa rahisi au ngumu kiasi gani yeye kuwania nafasi hiyo hadi kuwa kiongozi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa kanuni…
18 March 2024, 5:34 pm
DUWASA yaendelea kutekeleza azma ya kuifanya Dodoma ya kijani
Utekelezaji wa zoezi hilo unabeba dhana ya kuhakikisha maeneo ya vyanzo vya maji yanakuwa salama katika athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri ameipongeza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…