Dodoma FM

Ajali

9 February 2021, 2:11 pm

Mpango mwingine wa miaka 10 waanzishwa kupunguza ajali

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia mpango kazi wa Dunia wa kuzuia ajali za barabarani kwa asilimia 50% wa miaka kumi iliyopita 2011 hadi 2020 kutokufika malengo, umeanzishwa mpango mwingine wa miaka 10, 2021 hadi 2030 unaoendana na malengo ya maendeleo endelevu.…