Barabara
18 April 2024, 5:45 pm
Je unashiriki vipi kutunza miundombinu ya barabara katika eneo lako
Serikali kupitia wakala wa barabara Nchini TANROADS wamekuwa wakitoa elimu kwa jamii kupitia majukwaa mbalimbali juu ya ushiriki wa wananchi katika utunzaji wa miundombinu ya barabara Nchini jambo ambalo linapaswa kutekelezwa na kila mwananchi. Na Thadei Tesha.Seriali imeendelea na juhudui…
7 February 2022, 4:26 pm
Ubovu wa barabara Chitabuli wapelekea akina mama wajawazito kujifungulia njiani
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Chitabuli kilichopo katika wilaya ya Chamwino jijini Dodoma wameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara ambayo imekuwa ni changamoto kubwa kwao. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema ubovu wa…
4 February 2022, 3:55 pm
Ubovu wa barabara wakwamisha baadhi ya shuguli za maendeleo
Na; Victor Chigwada. Kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha Jijini hapa maeneo mengi yenye barabara za kawaida hususani vijijini yamekuwa yakiathirika kwa kiasi kikubwa na hata kukwamisha baadhi ya shughuli za maendeleo. Wananchi wa Kata ya Loje ni miongoni mwa…
2 February 2022, 4:20 pm
Wakazi wa Zuzu waomba serikali iboreshe miundombinu ya barabara.
Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Pinda katika kata ya Zuzu jijini Dodoma wameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara katika mtaa huo . Wamesema hali ya barabara hasa kwa kipindi cha mvua imekuwa changamoto kwani wakati mwingine wanashindwa kupita…
16 December 2021, 1:57 pm
Wakazi wa Ntyuka wametakiwa kuacha kupitisha mifugo barabarani
Na; Benard Filbert. Wafugaji katika Kata ya Ntyuka jijini Dodoma wametakiwa kuacha kupitisha mifugo yao barabarani ili kuepuka uharibifu wa barabara. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata hiyo Bw.Yona Mrema wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu utunzaji wa miundombinu…
18 August 2021, 2:02 pm
Wakazi wa Msanga walalamikia uchakavu wa barabara unao sababishwa na magari maku…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wamelalamikia uchakavua wa barabara unao sababishwa na magari makubwa yanayobeba madini ya mchanga katika kijiji cha msanga. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema licha…
12 August 2021, 11:27 am
Ukarabati wa barabara katika kata ya Dabalo utachangia kukua kwa maendeleo
Na; Benard Filbert. Kufuatia Kukamilika kwa ukarabati wa barabara za ndani ya kata ya Dabalo wilayani Chamwino itasaidia kukua kwa maendeleo ya wakazi wa kata hiyo. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata hiyo bwana Isihaka Rajabu wakati akizungumza na taswira…
9 August 2021, 1:08 pm
Serikali yaanza ukarabati wa miundombinu ya barabara katika kata ya Mtanana
Na; Benard Filbert. Diwani wa kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa Bwana Joel Musa ameishukuru serikali kuridhia kukarabati miundombinu ya barabara hali itakayochagiza maendeleo katika kata hiyo. Amesema hayo wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu kuanza kutekelezwa kwa ukarabati…
3 August 2021, 1:37 pm
Wabunge watakiwa kusimamia pesa za ujenzi wa barabara kuleta maendeleo kwa wanan…
Na;Mindi Joseph . Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa CCM na Mbunge wa jimbo la Mvumi mkoani Dodoma Mhe Livingstone Lusinde amewaomba wabunge kusimamia fedha walizopewa za kujenga barabara katika majimbo yao kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo. Akizungumza na waandishi…
5 July 2021, 12:31 pm
Wakazi wa kata ya Iduo waiomba serikali kufanya marekebisho ya barabara
Na; Beanard Filbert. Wakazi wa kata ya Iduo Wilayani Kongwa wameiomba Serikali kuhakikisha wanafanya marekebisho ya miundombinu ya barabara katika Kata hiyo ili kuepusha usumbufu ambao wamekuwa wakikutana nao hususani katika msimu wa mvua. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati…