Dodoma FM

Barabara

18 April 2024, 5:45 pm

Je unashiriki vipi kutunza miundombinu ya barabara katika eneo lako

Serikali kupitia wakala wa barabara Nchini TANROADS wamekuwa wakitoa elimu kwa jamii kupitia majukwaa mbalimbali juu ya ushiriki wa wananchi katika utunzaji wa miundombinu ya barabara Nchini jambo ambalo linapaswa kutekelezwa na kila mwananchi. Na Thadei Tesha.Seriali imeendelea na juhudui…

4 February 2022, 3:55 pm

Ubovu wa barabara wakwamisha baadhi ya shuguli za maendeleo

Na; Victor Chigwada. Kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha Jijini hapa maeneo mengi yenye barabara za kawaida hususani vijijini yamekuwa yakiathirika kwa kiasi kikubwa na hata kukwamisha baadhi ya shughuli za maendeleo. Wananchi wa Kata ya Loje ni miongoni mwa…

16 December 2021, 1:57 pm

Wakazi wa Ntyuka wametakiwa kuacha kupitisha mifugo barabarani

Na; Benard Filbert. Wafugaji katika Kata ya Ntyuka jijini Dodoma wametakiwa kuacha kupitisha mifugo yao barabarani ili kuepuka uharibifu wa barabara. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata hiyo Bw.Yona Mrema wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu utunzaji wa miundombinu…