Boresha lishe
20 July 2023, 5:06 pm
Ifahamu maana halisi ya jina Bahi
Kila jina huwa na maana au asili je jina Bahi lina maana gani na asili yake ni nini? Na Yussuph Hassan. Wilaya ya Bahi ni mojawapo kati ya wilaya saba za mkoa wa Dodoma. Wilaya hii ilianzishwa rasmi mwaka 2007…
6 June 2023, 4:23 pm
Wananchi wahimizwa kufanya utalii wa ndani
Dhana ya wananchi ya kuamini utalii hufanywa na watu kutoka nje ya nchi inakwamisha sana sekta ya utalii nchini. Na Alfred Bulahya. Kuelekea siku ya maporomoko ya maji duniani, watanzania wametakiwa kuacha kuamini kuwa suala la utalii linafanywa na watu…
19 April 2023, 2:43 pm
Ishara zipi ambazo kaka kuona hutabiri
Je chifu Tupa atamuwekea nini Kaka kuona ili aweze kutabiri ishara zinazo kuja. Na Yussuph Hassani. Hii ni imani ambayo ipo kwenye jamii na tulipo fika katika kijiji cha Makang’wa tulikuwa watu wa kijiji hicho wana hamu kubwa ya kutaka…
28 March 2023, 3:58 pm
Wakazi wa Dodoma wahamasishwa kutembelea vivutio vya utalii
Ili kukuza utalii katika Mkoa wa Dodoma Taasisi mbalimbali, wadau pamoja na wananchi kutembelea katika mapori hayo ya akiba. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wananchi,Taasisi pamoja wadau mbalimbali kushiriki kutembelea katika vivutio vilivyopo…
14 March 2023, 12:04 pm
Wananchi Wahimizwa kufanya utalii wa ndani Jijini Dodoma
Wananchi Mkoani Dodoma wamehimizwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani ukiwemo utalii wa matukio, kwenda maeneo maarufu mkoani hapo, ikiwemo pia na maeneo ya mashamba makubwa yanayolima zao la zabibu. Na Fred Cheti. Katika Kuufanya Mkoa wa Dodoma…
23 November 2022, 1:45 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya utalii.
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kujitokeza kwenye tamasha la utalii katika eneo la Nyerere square tarehe 26 mwezi huu kwa lengo la kupata elimu ya utalii. Hayo yameelezwa na Dorothea Masawe kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa…
26 April 2021, 5:52 am
Wakazi wilayani Chamwino wanatarajia kunufaika na mradi wa boresha lishe
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chanhumba wilayani Chamwino wamesema wanatarajia kupata Elimu zaidi juu ya Lishe bora kupitia mfululizo wa Vipindi vya Redio vya Dodoma fm ili kusaidia kupunguza hali ya udamavu katika maeneo yao . Wakizungumza na…