Dodoma FM

cheti cha kuzaliwa

27 May 2022, 2:58 pm

Jamii yatakiwa kutofumbia macho ajali zinazo athiri macho

Na;Yussuph Hassan.     Jamii imeshauriwa kutofumbia macho ajali mbalimbali zinazoathiri macho kwani kufanya hivyo ni kuhatarisha uoni ambao unaweza kusababisha upofu baadae. Ushauri huo umetolewa na Bingwa wa Magonjwa ya Macho kutoka kliniki ya Cvt Dodoma Dkt Nelson Mtajwaa wakati akizungumza…

17 May 2022, 1:32 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kupima shinikizo la damu

Na ;Benard Filbert. Ikiwa leo ni maadhimisho siku ya shinikizo la damu jamii imetakiwa kujitokeza kupima shinikizo hilo ili kuepusha athari zinazoweza kujitokeza baadaye. Hayo yameelezwa na daktari Flora Mwakalabo kutoka kituo cha afya makole wakati akizungumza na taswira ya…