elimu
7 February 2024, 5:29 pm
Shule ya msingi Iboni yawezeshwa ujenzi wa mabweni
Shule ya msingi Iboni ni shule pekee mkoani dodoma inayotoa elimu ya kawaida na elimu ya vitengo maalumu wakiwemo wanafunzi wasiiona, viziwi, usonji na ulemavu wa akili na viungo huku baadhi yao wakitembea umbali mrefu kufika shuleni. Na Nizar Mafita.Shule…
28 March 2022, 3:14 pm
Wanafunzi watakiwa kuacha kujihusisha na mapenzi
Na; Neema Shirima. Wanafunzi wa kike wameshauriwa kuachana na kujihusisha na mapenzi ili kuepuka kupata magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile ukimwi Haya yamezungumwa ikiwa imesalia mwezi mmoja wanafunzi wa kidato wa sita kufanya mitihani yao ya mwisho ya kuhitimu…
23 March 2022, 2:53 pm
Uhaba wa madawati bado ni changamoto katika sekta ya elimu
Na ;Victor Chigwada . Mbali na changamoto ya vyumba vya madarasa pamoja na walimu katika shule za msingi na sekondari lakini uhaba wa madawati nao umeongeza changamoto katika sekta ya elimu Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi ni miongoni mwa…
15 March 2022, 1:40 pm
Wazazi acheni kushinikiza watoto wajifelishe.
Na;Mindi Joseph . Wazazi Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wametakiwa kuachana na tabia ya kuwashinikiza watoto kujifelisha katika masomo yao. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Michezo Wilayani humo Nicholaus Achimpota ambapo amesema hali hiyo inapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya elimu…
7 March 2022, 1:28 pm
Wazazi watajwa kuwa chanzo cha watoto kuacha shule
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa chanzo cha watoto wao kutokukwenda shule kutokana na kutowanunulia vifaa vya shule pamoja na sare za shule Hayo yamesemwa na diwani wa kata ya Hombolo bwawani bwn Andrew Mseya wakati akizungumza…
7 February 2022, 2:49 pm
Vijana wahitaji elimu zaidi juu ya madhara ya matumizi ya pombe na tumbaku
Na; Thadei Tesha. Baadhi ya vijana jijini hapa wamesema elimu zaidi inahitajika kwa vijana ambao wamekuwa wakiathiriwa na matumizi ya pombe pamoja na tumbaku juu ya athari za kiafya zinazoweza kuwapata. wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya vijana jijini…
31 January 2022, 3:19 pm
Umbali mrefu wa kufika shule wapelekea wanafunzi kuacha shule.
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kua umbali mrefu wa kufika shuleni umekuwa ni chanzo cha utoro kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Zuzu. Hayo yamesemwa na baadhi ya wananchi wa mtaa wa Chididimo katika kata ya Zuzu ambapo wamesema inawalazimu…
27 January 2022, 2:45 pm
Wakazi wa Nzasa waiomba serikali iwasaidie kukamilisha ujenzi wa shule
Na ;Victor Chigwada. Wanafunzi wa kijiji cha Nzasa Kata ya Chiboli hulazimika kutembea kila siku Zaidi ya kilomita 15 kuifata shule ilipo. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wananchi hao wamesema kuwa umbali mrefu umekuwa changamoto kwa wanafunzi wa umri…
12 January 2022, 2:20 pm
Wazazi watakiwa kuwaandikisha watoto kujiunga kidato cha kwanza.
Na; Benard Filbert. Wazazi katika kata ya Mbalawala jijini Dodoma wametakiwa kuwaandikisha watoto wao kujiunga kidato Cha kwanza. Hayo yanajiri kufuatia baadhi ya wanafunzi kudaiwa kuto kuendelea na elimu ya secondari kutokana na sababu mbalimbali. Ally Mohamed ni Diwani wa…
19 October 2021, 11:24 am
Ukosefu wa elimu kwa familia ni kikwazo kwa mtoto wa kike
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa elimu kwa familia imetajwa kuwa kikwazo kwa watoto wa kike kwani hushawishiwa na familia kufanya vibaya mitihani yao ya taifa ili waolewa na wazazi kuepuka kuwasomesha. Akizungumza na Taswira ya habari Denis Komba Mkuu wa idara…