Dodoma FM

elimu

7 February 2024, 5:29 pm

Shule ya msingi Iboni yawezeshwa ujenzi wa mabweni

Shule ya msingi Iboni ni shule pekee mkoani dodoma inayotoa elimu ya kawaida na elimu ya vitengo maalumu wakiwemo wanafunzi wasiiona, viziwi, usonji na ulemavu wa akili na viungo huku baadhi yao wakitembea umbali mrefu kufika shuleni. Na Nizar Mafita.Shule…

28 March 2022, 3:14 pm

Wanafunzi watakiwa kuacha kujihusisha na mapenzi

Na; Neema Shirima. Wanafunzi wa kike wameshauriwa kuachana na kujihusisha na mapenzi ili kuepuka kupata magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile ukimwi Haya yamezungumwa ikiwa imesalia mwezi mmoja wanafunzi wa kidato wa sita kufanya mitihani yao ya mwisho ya kuhitimu…

15 March 2022, 1:40 pm

Wazazi acheni kushinikiza watoto wajifelishe.

Na;Mindi Joseph .                                     Wazazi Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wametakiwa kuachana na tabia ya kuwashinikiza watoto kujifelisha katika masomo yao. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Michezo Wilayani humo Nicholaus Achimpota ambapo amesema hali hiyo inapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya elimu…

7 March 2022, 1:28 pm

Wazazi watajwa kuwa chanzo cha watoto kuacha shule

Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa chanzo cha watoto wao kutokukwenda shule kutokana na kutowanunulia vifaa vya shule pamoja na sare za shule Hayo yamesemwa na diwani wa kata ya Hombolo bwawani bwn Andrew Mseya wakati akizungumza…

19 October 2021, 11:24 am

Ukosefu wa elimu kwa familia ni kikwazo kwa mtoto wa kike

Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa elimu kwa familia imetajwa kuwa kikwazo kwa watoto wa kike kwani hushawishiwa na familia kufanya vibaya mitihani yao ya taifa ili waolewa na wazazi kuepuka kuwasomesha. Akizungumza na Taswira ya habari Denis Komba Mkuu wa idara…