elimu
7 June 2021, 2:20 pm
Serikali yakiri kutoa Elimu bila Ada na sio Elimu bure
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inatoa Elimu bila Ada sio Elimu bure hivyo Wazazi washiriki kutoa michango kwa ajili ya maendeleo ya Shule. Hayo yamebainishwa hii leo Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za…
31 May 2021, 3:56 pm
NACTE yatakiwa kuandaa tathmini ya maonyesho ya vyuo vya ufundi
Na; Rabiamen Shoo. MKUU wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka amelitaka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kuandaa mkutano wa tathimini ya maonyesho ya vyuo vya ufundi ili kuona tija ya maonyesho hayo. Kauli hiyo aliitoa jana mara…
27 May 2021, 2:04 pm
Elimu ya ufundi ni kichocheo bora cha maendeleo endelevu Nchini.
Na;Mindi Joseph. Serikali imesema maendeleo ya viwanda na usatawi wa jamii hayawezi kuleta tija pasipo kuwa na usimamizi bora kwenye elimu ya ufundi kama kichocheo endelevu cha ukuaji wa uchumi nchini Tanzania. Akizungumza katika Ufunguzi kongamano la wadau wa elimu…
13 May 2021, 11:46 am
Uhaba wa rasilimali fedha ulichangia kukwamisha mashindano ya Sayansi na teknolo…
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa rasilimali fedha umetajwa kuwa sababu iliyokuwa ikipelekea Wizara ya elimu sayansi na teknolojia kushindwa kufanya mashindano ya kitaifa ya sayansi teknolojia na ubunifu katika ngazi za Wilaya. Hayo yameelezwa na profesa Kipanyula ambaye ni mkurugenzi…
12 May 2021, 1:43 pm
Haki elimu yataja vipaumbele katika mabadiliko ya sera ya elimu
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa ili Tanzania kuwa na elimu jumuishi yenye ufanisi ni muhimu sera ya elimu ieleze wazi suala hilo na kuweka vipaumbele katika mitaala jumuishi ,pamoja na utoaji wa elimu nyumbufu kwa ngazi zote. Hayo yameelezwa na…
12 May 2021, 1:00 pm
Wazazi kata ya makanda wataka matokeo chanya kwa wanafunzi
Na; Victor Chigwada Kutokana na matokeo yasiyokuwa ya kuridhisha kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika Kata ya Makanda wazazi wametaja kilichosababisha hali hiyo ni kuwepo kwa kambi za kitarafa. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
11 May 2021, 8:24 am
Wakazi Makulu waomba wazazi wanao katisha watoto masomo wachukuliwe hatua za kis…
Na;Benjamin Jackson. Kutokana na kuzuka kwa tabia ya wazazi kusitisha masomo ya Watoto wao ya elimu ya sekondari pindi wanapo hitimu elimu ya msingi ,baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuchukua hatua kali kwa wazazi wenye tabia kama hiyo. Wakizungumza na…
7 May 2021, 11:39 am
Wakazi wa lugala watanufaika na elimu ya watu wazima
Na; Alfred Bulahya. Wakazi wa mtaa wa Lugala kata ya Mbalawala watanufaika na elimu ya watu wazima baada ya uongozi wa eneo hilo pamoja na wananchi kukubaliana kuanzisha darasa ili kuwasaidia wananchi ambao hawakubahatika kusoma. Akizungumza na Taswira ya habari…
4 May 2021, 9:44 am
Uongozi wa secondary ya Hombolo bwawani wakanusha taarifa ya kuadhibu wanafunzi…
Na; Benard Filbert Uongozi wa shule ya secondary Hombolo bwawani jijini Dodoma umekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wanafunzi wa kidato cha tano kuadhibiwa hadi kufikia hatua za kulazwa hospitali kutokana na uharibifu wa mali za shule. Akizungumza…
3 May 2021, 10:29 am
Ukosefu wa elimu ya Afya kwa mabinti ni sababu kubwa ya maambukizi ya virusi vya…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ili kuongeza ufahamu kuhusu masuala ya afya ya uzazi kwa vijana ni muhimu kuongeza wigo wa utoaji elimu hiyo pamoja na mazingira rafiki yanayomuwezesha kijana kupata elimu hiyo. Debora Frenk ni afisa mradi wa EPIC…