Dodoma FM

Handali

26 April 2021, 6:28 am

Wakazi Handali walalamikia kukosa mtendaji

Na, Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Handali Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wametoa malalamiko yao ya kutokuwa na mtendaji hali inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yao. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa kukosekana kwa mtendaji…