jamii
3 November 2021, 1:40 pm
Jamii imetakiwa kusoma na kuielewa mikataba mbalimbali kabla ya kusaini
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kusoma na kuelewa mikataba mbalimbali wanayopewa katika makubaliano kabla ya kuisaini. Wito huo umetolewa na msaidizi wa kisheria kutoka kata ya Dodoma Makulu Bw. Kapesa Youngson wakati akizungumza na Taswira ya habari na…
26 August 2021, 2:02 pm
Waziri wa Afya awataka maafisa ustawi wa jamii kuwasaidia wagonjwa waliopo nyumb…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wamepongeza agizo la Waziri Wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima kuwataka Afisa Ustawi wa Jamii kuwatambua na kuwasaidia Wagonjwa waliopo Nyumbani pasi na kupatiwa Matibabu. Akizungumza na Taswira ya habari Mmoja wa Wakazi hao Monica Stan…
6 May 2021, 1:56 pm
Jamii imetakiwa kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum.
Na; Benard Filbert. Jamii inaaswa kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu ikiwepo watoto wanaoishi katika mazingira magumu hali itakayosaidia kukidhi mahitaji yao ya msingi. Wito huo umetolewa na mratibu wa shirika la Charity Vision Tanzania Mariam Mbijima mara baada…
12 April 2021, 9:13 am
Wanawake na nafasi za juu katika uongozi
Na; Mariam Kasawa. Tanzania ni miongoni mwa Nchi ambayo imekuwa ikiwapa kipaumbele wanawake hasa katika nyaja ya uongozi. Akizungumza leo katika kipindi cha Dodoma live Bi. Gloria Mafole wakili mchambuzi wa sera kutoka katika Jumuiya ya kikristo Tanzania amsema wanawake…
2 April 2021, 8:55 am
Mila na desturi kiini cha ukatili kwa jamii.
Na; Alfred Bulahya. Wajumbe wa kamati za ulinzi wa mwanamke na mtoto (MTAKUWA) waliopo wilayani Chamwino Jijini Dodoma, wametakiwa kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii kwa kuibua vitendo vya ukatili na kupeleka kesi hizo kwenye mamalaka husika ili ziweze kupatiwa ufumbuzi…
8 February 2021, 1:43 pm
CDF lasaidia kupunguza mimba za utotoni Mpwapwa
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Zaidi ya wanafunzi elfu moja kutoka shule 8 za Sekondari na 12 za Msingi Wilayani Mpwapwa, wamefanikiwa kupata mafunzo ya kuwajengea mazingira salama wawapo shuleni toka mwaka 2017. Akizungumza na Taswira ya habari meneja miradi kutoka Shirika…
5 February 2021, 4:40 pm
TASAF yazidi kunufaisha kaya masikini
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Kaya milion moja na laki mbili zinatarajiwa kushiriki katika miradi ya kuinua uchumi wa kaya kati ya kaya milion 1 laki nne na nusu zilizopo katika kipindi cha pili cha awamu ya 3, ya utekelezaji wa mpango…
3 December 2020, 3:18 pm
Jamii yaaswa kuacha unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu
Na Alfred Bulahya, Dodoma. Tume ya haki za binadamu na utawala bora (THBUB) imewataka wananchi kuachana na mila,desturi pamoja na mitazamo potofu ambayo huwafanya watu wenye ulemavu kuvunjika moyo na kujiona hawana mchango kwa jamii.Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na…