Dodoma FM

Mauaji

26 May 2021, 12:50 pm

Auawa na ndugu tuhuma ya wizi

Na; Thadey Tesha Mtu mmoja ameuawa na ndugu zake wa karibu Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wakimtuhumu kujihusisha na vitendo vya wizi. Akizungumza na waandishi wa habari hii leo kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma SACP Gilles Muroto amemtaja marehemu kuwa ni…