Dodoma FM
Mauaji
18 April 2024, 6:27 pm
Kijana alie mchinja bibi yake apandishwa kizimbani Mpwapwa
Kijana huyo ambae alitenda kosa hilo wiki chache zilizopita kwa madai kwamba bibi yake alikuwa akimroga asifanikiwe kimaisha jana amepandishwa kizimbani na kusomewa shitaka lake ambapo kesi imeahirishwa .
26 May 2021, 12:50 pm
Auawa na ndugu tuhuma ya wizi
Na; Thadey Tesha Mtu mmoja ameuawa na ndugu zake wa karibu Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wakimtuhumu kujihusisha na vitendo vya wizi. Akizungumza na waandishi wa habari hii leo kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma SACP Gilles Muroto amemtaja marehemu kuwa ni…