Mawasiliano
7 June 2021, 1:02 pm
Waziri wa mawasiliano awataka watoa huduma za mawasiliano kuboresha huduma zao
Na; Shani Nicolous. Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dkt.Faustine Ndugulile amewataka watoa huduma za mawasilian nchini kuboresha huduma zao na kudhibiti laini zote zilizosajiliwa kimakosa. Amesema hayo wakati akizungumza na watoa huduma za mawasilino nchini katika kikao kilichofanyika…
26 May 2021, 12:59 pm
Wakazi Farkwa walazimika kupanda juu ya miti kupata mawasiliano ya simu
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Farkwa Wilaya ya Chemba wanakabiliwa na changamoto ya uhafifu wa mawasiliano ya simu za mkononi kutokana na uhaba wa minara Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa wanalazika kutafuta…
2 February 2021, 1:37 pm
Wizara yakabidhi mikataba minne kwa wakandarasi
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wizara ya mawasiliano na teknolojia ya habari hii leo imekabidhi mikataba minne kwa wakandarasi wa ujenzi , upanuzi na uunganishaji wa mkongo wa Taifa wa mawasiliano na miundombinu ya anwari za makazi na postikodi. Akizungumza na waandishi…