Dodoma FM

Uapisho

17 May 2022, 11:24 am

Maeneo ya kilimo cha umwagiliaji yatakiwa kuainishwa.

Na; Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuainisha maeneo yanayofaa kwa umwagiliaji ambayo ni hekari milioni 29 . Akizungumza katika uzindua Bodi ya Wakurugenzi jijini Dodoma Waziri Bashe ameitaka bodi hiyo kuziweka…

6 April 2021, 9:40 am

Rais Samia ataka wananchi wasizuiwe kueleza kero zao.

Na; Mariam Kasawa. Rais  wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa kitaifa wakikutana na mabango katika ziara zao, atawaondoa kazini mkurugenzi wa halmashauri na wakuu wa wilaya husika. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumanne  Aprili 6, 2021  Ikulu jijini…