Uapisho
17 May 2022, 11:24 am
Maeneo ya kilimo cha umwagiliaji yatakiwa kuainishwa.
Na; Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuainisha maeneo yanayofaa kwa umwagiliaji ambayo ni hekari milioni 29 . Akizungumza katika uzindua Bodi ya Wakurugenzi jijini Dodoma Waziri Bashe ameitaka bodi hiyo kuziweka…
22 June 2021, 1:27 pm
Wakuu wa wilaya wapya Dodoma wametakiwa kusimamia vema vipaumbele vya Mkoa
Na;Yussuph Hans. Mkuu wa Mkoa Dodoma Mh. Antony Mtaka amewataka wakuu wa wilaya aliowaapisha leo Jijini Dodoma kuhakikisha wanasimamia vyema Vipaumbele vya mkoa na kuleta mabadiliko Chanya. Akizungumza baada ya hafla ya uapisho wa Viongozi hao, Mh Mtaka amesema kuwa…
21 June 2021, 2:05 pm
Wakuu wa mikoa wapya wametakiwa kusimamia ipasavyo huduma kwa wananchi
Na; Yussuph Hans. Wakuu wa Mikoa walioapishwa hii leo wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo huduma kwa wananchi katika maeneo wanayoenda kuyatumikia. Wito huo umetolewa na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa hii leo wakati rais Rais Mh.Samia…
6 April 2021, 9:40 am
Rais Samia ataka wananchi wasizuiwe kueleza kero zao.
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa kitaifa wakikutana na mabango katika ziara zao, atawaondoa kazini mkurugenzi wa halmashauri na wakuu wa wilaya husika. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumanne Aprili 6, 2021 Ikulu jijini…
19 March 2021, 8:24 am
Hatimae Samia Suluhu aapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Na, Mariam Kasawa. Aliyekua makamu wa Rais wa awamu ya tano Mh. Samia Suluhu Hassani hatimaye ameapishwa leo kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza leo machi 19, 2021 Tanzania imeandika historia ya kupata rais…
19 March 2021, 5:39 am
Makamu wa rais Samia Suluhu Hassan kuapishwa leo kushika wadhifa wa Urais
Na, Mariam Kasawa. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ataapishwa leo Machi 19, 2021 kushika wadhifa wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Hafla hiyo itafanyika katika Ikulu ya Dar es salaam…