Dodoma FM
ubovu wa barabara
21 June 2021, 11:03 am
Ubovu wa barabara katika kata ya Ovada umepelekea baadhi ya akina mama wajawazit…
Na; Benard Filbert. Changamoto ya miundombinu ya barabara katika kata ya Ovada wilayani Chemba imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo . Hayo yameelezwa na wakazi wa kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari ambapo wamesema kuwa ubovu…