Dodoma FM
Uchambuzi
18 May 2022, 2:49 pm
Wakazi wa Asanje wamtaka mwenyekiti wa kijiji hicho ajiuzuru
Na; Selemani Kodima. Wananchi wa kijiji cha Asanje Wilayani Bahi wamemtaka mwenyekiti wa Kijiji cha Asanje Juma Dobogo kuachia nafasi yake kutokana kushindwa kuwatumikia na kusimamia Miradi ya kijiji . Wakizungumza kwa Nyakati Tofauti katika Mkutano wa Kijiji wananachi hao…
21 June 2021, 10:06 am
Viongozi wametakiwa kuiga msimamo wa aliyekuwa Rais wakwanza wa Zambia
Na; Benard Filbert. Viongozi katika nchi za Afrika wameaswa kuiga msimamo wa aliyekuwa rais wa kwanza wa Zambia Keneth Kaunda ili waweze kukuza uchumi katika mataifa yao. Hayo yameelezwa na mhadhiri mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka chuo kikuu cha…