Dodoma FM
uhaba wa walimu
22 July 2021, 9:09 am
Wakazi wa Mlanje walalamikia uhaba wa walimu na na uchache wa vyumba vya madaras…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlanje Kata ya Matongoro Wilaya ya kongwa wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya walimu wa shule ya msingi pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi…