Dodoma FM

wizi Makulu

29 April 2022, 6:48 am

Zoezi la chanjo ya polio la ahirishwa hadi may 12 na 15

Na;Yussuph Hassan. Zoezi la chanjo ya ugonjwa polio lililotarajiwa kuanza jana Nchini, limehairishwa ambapo zoezi hilo litafanyika kuanzia mwezi may 12-15 nchini huku wananchi wakikisitizwa kujiandaa na zoezi hilo. Akizungumza na kituo hiki Mratibu wa Chanjo Mkoani Dodoma Victor Kweka…

24 May 2021, 10:16 am

Wizi wapelekea wakazi wa Makulu kuishi bila amani

Na; Benjamin Jackson.   Wakazi wa kata ya Makulu Jijini Dodoma wamelalamikia eneo hilo kukumbwa na wimbi la wizi hali inayopelekea wananchi kukosa amani katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao  wamesema tatizo la wizi katika eneo hilo limekuwepo…