Huheso FM

Uncategorized

November 10, 2021, 8:10 pm

Wananchi wazungumzia uelewa wa magonjwa yasiyo ambukiza

Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia ya kupima afya…

November 9, 2021, 8:48 pm

Wananchi walalamikia ukosefu wa kizimba cha kuhifadhi taka

Wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya eneo maalumu la kuhifadhi taka hali inayopelekea kutupa taka hovyo katika eneo la mtu. Wakizungumza na Huheso Fm wakazi wanaoishi karibu na…

October 30, 2021, 11:49 pm

Usalama wa wanafunzi mashuleni wawapatia changamoto

Imeelezwa kuwa Usalama wa wanafunzi ndani na nje ya shule imekua changamoto hali inayowapelekea kushuka katika masomo yao katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga. Wameyasema hayo leo wanafunzi wakati wa kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ghama Hotel ambapo kimejumuisha shule…

October 30, 2021, 6:32 pm

Madarasa yatarajiwa kujengwa kwa mfumo wa force account.

Jumla ya madarasa 267 Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yanatarajiwa kukamilika mwishoni  mwa mwezi Novemba mwaka huu kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga kuwa madarasa hayo yanatarajiwa kuanza…

October 13, 2021, 12:45 pm

Wakulima wapewa ruzuku za pembejeo

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wakulima waliopatiwa ruzuku za pembejeo za kilimo na halmashauri kuhakikisha wanatumia vizuri pembejeo hizo kwenye kilimo kama ilivyokusudia. Festo kiswaga ameyasema hayo wakati akigawa  pembejeo hizo kwa wakulima ambapo amesema wakulima waliopatiwa …

October 1, 2021, 11:26 am

Mbunge aendelea kuchangia ujenzi wa shule za sekondari

Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba amechangia millioni moja laki mbili na elfu hamsini kwa ajili ya ununuzi vifaa vya ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata ya Kagongwa. Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya ya kutembelea…

September 28, 2021, 8:36 pm

Wanaume chanzo cha ukatili wa kijinsia

Imeelezwa baadhi ya wanaume ndio chanzo kikubwa cha ukatili wa kijinsia katika jamii kutokana na kutokua tayari kupokea mabadiliko ya kupinga vitendo vya ukatili wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Kauli hiyo imetolewa na Mratibu mradi wa MWANAMKE AMKA Joyce Michael wakati…

September 22, 2021, 4:49 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza ujenzi wa Bomba la Mafuta-Kahama

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wananchi wilayani humo kuchangamkia fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la mafuta ambao unapita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akizungumza katika kikao cha wadau wa EWURA na TPDC ambacho kimeshirikisha wafanyabiashara na…