Huheso FM

Recent posts

March 4, 2024, 3:06 pm

Afisa mipango miji Kahama asimamishwa kazi

“Huyu afisa alikuwa mpenzi wake na huyu mama kwahiyo penzi lilivyokufa huyu mama alikuwa anashindwa kudai haki yake ya kiwanja” Na Paschal Malulu-Huheso fm Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme amewasimamisha watumishi wanne wa halmashauri ya Manispaa ya Kahama…

September 19, 2023, 2:37 pm

Serikali kujenga shule ya sekondari mpya Ushetu

SERIKALI Kuu imetoa Sh milioni 603.8 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Ngilimba kata ya Ulowa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Hatua hiyo itawanusuru wanafunzi kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 10 kuelekea…

September 15, 2023, 1:10 pm

Wananchi wasiogope Jeshi la Polisi-RPC Magomi

Kamanda Janeth Magomi amezungumzia elimu ambayo wamekuwa wakiitoa katika jamii ili kupunguza au kutokomeza matukio ya wizi, uvunjaji na uhalifu vinakwisha ambapo amesema polisi Kata wapo kwenye kila Kata ili kuzngumza na wananchi ili kuwafichua wahalifu na wamekuwa wakitoa elimu…

September 14, 2023, 7:36 pm

Clouds Ndondo Cup kuanza kutimua vumbi Kahama Oktoba Mosi

Mashindano ya Clouds Ndondo Cup yanatarajiwa kufanyika mjini Kahama kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu 2023 na usajili wa timu kushiriki wa timu utafungwa rasmi tarehe 22 Septemba 2023 na upangwaji wa makundi utafanyika Septemba 25, 2023 na kila kundi litakuwa…

September 13, 2023, 11:07 pm

Mechi ya pongezi kwa Taifa Stars yapigwa Kilago, Mgeja asifu vipaji

Katika mchezo huo Khamis Mgeja amehudhuria kama mgeni rasmi ambapo amepongeza jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuunga mkono na kusapoti michezo na kuwapatia taifa stars milioni mia tano kwa kufanikiwa…

September 13, 2023, 2:51 pm

Wazazi Nyahanga wahamasishana ujenzi wa vyoo shuleni

Na Paul Kayanda-Kahama WAZAZI na walezi katika Mtaa was Nyahanga Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, wameombwa kuhamasika katika suala la uchangiaji wa ujenzi wa choo cha wavula kulingana na upungufu mkubwa uliopo. Kaimu mwenyekiti wa kamati ya shule ya msingi…

September 12, 2023, 11:26 am

Mgeja kuhudhuria mechi ya kuipongeza Taifa stars kufuzu Afcon

Khamis Mgeja licha tu ya kuwa mdau mkubwa wa michezo nchini amekuwa na mchango mkubwa katika kuhamasisha michezo nchini hasa kwenye masuala mazima yanagusa maslahi mapana ya wananchi na taifa kwa ujumla ambapo amekuwa akiunga mkono timu mbalimbali kwa michango…

September 10, 2023, 2:25 pm

Wanafunzi 12,120 Manispaa ya Kahama kufanya mtihani wa taifa juma lijalo

Katika mtihani huo wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Manispaa ya Kahama ni kumi ambao wanajumuishwa na wenye uoni hafifu. Watahiniwa 12,120 wanaotarajiwa kuhitimu elimu ya msingi katika halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wanatarajiwa kufanya mtihani wa kitaifa wiki…

September 6, 2023, 1:27 pm

Moto wateketeza mabweni shule ya Mingas, wanafunzi wanusurika kifo

Na Paul Kayanda-Kahama Moto mkubwa uliozuka katika shule ya msingi Mingas uliopo katika eneo la Mayila mtaa wa Nyihogo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, umeteketeza mabweni yote ya shule hiyo huku wanafunzi wakinusurika baada ya kuokolewa na jeshi la zima…

September 5, 2023, 12:16 pm

Tanroads yawakosha wananchi ujenzi wa barabara Shinyanga

Na Marco Maduhu – Kahama WANANCHI wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,wamepongeza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani humo, kwa ujenzi wa miundombinu imara ya Barabara, ambayo imekuwa kichocheo kikubwa cha uchumi,pamoja na akina mama wajawazito kuwahi kufika kwenye huduma…

Huheso Fm Radio

Vision

As a community servant, HUHESO FM RADIO will cultivate a synergy between art and information through social enterprise and creative programs that link diverse cultural backgrounds by stimulating the mind, body and soul. HUHESO FM RADIO will provide every person with a platform of pulsating perspectives to express themselves within the existing cultural diversities.

HUHESO FM RADIO will be the communities’ hub of information; an innovative and dynamic property of lifelong learning that will be open to all and free from the chains of any type of influence. When curiosity leads an individual to begin a voyage of enlightenment, HUHESO FM RADIO will be his or her vessel propelled by the winds of understanding.

Mission

HUHESO FM RADIO will be an independent, communities-based and, to an extent, a volunteer-run radio station dedicated to serve listeners in Kahama District council and neighboring areas.

In accordance with the HUHESO’s mission, and as partners with communities in the area of its coverage, it will engage itself in the transformation of the lives of people in Kahama District council through the exchange of compelling and enriching ideas using a diverse array of educational, informative and creative broadcast programs and services that engage, inspire and stimulate the empowerment of the communities in matters related to children and other community based affairs.

HUHESO FM RADIO aims to serve with particular regard for those individuals, groups, issues and music that have been overlooked, suppressed or under-represented by other media and to provide a forum for the exchange of cultural and intellectual ideas and music through an intuitive and inspirational approach.

Vibrant communities are well informed and involved, embrace diversity, respectfully share opinions and foster economic and social justice. HUHESO FM RADIO shall also build communities by bringing people together to celebrate the music of the world and give an alternative voice to the communities.

Objectives

With the aforementioned narrations, generally, HUHESO FM RADIO’S objectives are to ensure that there will be prompt and easy access to on- the-air (OTA) news, information, and music as well as other radio programs basing on facts and truth to the general folk in the local communities in Kahama District council.

The objectives are based on the recognition of the fact that in order to bring an alternative voice to the airwaves of Kahama District council and to thrive against current and potential future competition, HUHESO Foundation needs to build a radio that will be heavily influenced by the communities that it works for. Locally produced, alternative programming that covers and responds to local developments and the larger worldwide community is what will differentiate HUHESO FM RADIO from the more broad hand-outs of other public radio station as well as satellite radio and other developing technologies.

AUDIENCE

HUHESO FM Radio programs are dedicated to gratify the entire sectors of life. HUHESO FM RADIO offers a diverse combination of informational, educational and entertainment affairs programming reaching all age and sex groups. As we are going on with our radio programs, an estimated total number of 1.5 to 2 million listeners are reached with our broadcastings throughout our coverage areas.

COVERAGE

All listeners are from:-

Shinyanga

  • Kahama town council
  • Msalala District
  • Ushetu District
  • Shinyanga District

Tabora

  • Nzega District Council
  • Tabora Municipal
  • Urambo
  • Kaliua

Geita

  • Mbogwe District Council
  • Ushirombo District
  • Nyalugusu
  • Bukoli

 Kigoma

  • Kakonko