Recent posts
July 21, 2023, 1:00 pm
Madiwani Kahama wapongeza kukamilika miradi ya maendeleo
Madiwani wilayani Kahama mkoani Shinyanga wa meipongeza serikali ya awamu ya sita na halmashauri ya wilayani hiyo kwa juhudi za maendelo zinazofanyika katika mwaka wa fedha 2022/2023. Na Misoji Masumbuko, Anas Ibrahim Wameyasema hayo katika kikao cha madiwani cha robo…
July 4, 2023, 2:51 pm
Madiwani manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundombinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi.
July 4, 2023, 10:56 am
Jamii kuishi kwa mazoea chanzo cha magonjwa yasioambukizwa
Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Na Misoji Masumbuko Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia…
July 3, 2023, 12:24 pm
Wajumbe MTAKUWWA wapanga mikakati kupinga ukatili wa kijinsia
Wajumbe wa kamati ya MTAKUWWA wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekutana katika kikao cha mradi wa Mwanamke Amka ili kujadili mpango kazi ambao utatokomeza ukatili wa kijinsia huku wanaume wakitajwa kuwa ndio chanzo kikubwa kinachochochea ukatili. Na Misoji Masumbuko Akizungumza wakati…
November 17, 2022, 6:29 pm
Wanafufunzi kidato cha nne watakiwa kuepuka udanganyifu
Wanafunzi wa kidato cha nne wilayani Kahama mkoani Shinyanga waliotahiniwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne wametakiwa kuepuka udanganyifu kwenye chumba cha mtihani ulioanza hii leo Novemba 14, 2022. Wito huo umetolewa leo Novemba 14,2022 na mkuu wa…
November 9, 2022, 10:12 am
Wananchi Nyandekwa waunga juhudi za maendeleo
Wananchi wa vitongoji vya kigungumli na baseka vilivyopo nyandekwa manispaa ya kahama mkoani shinyanga wameungana kwa ajili ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika maendeleo kwa kuitisha harambee yenye lengo la ujenzi wa shule ya msingi. Hatua…
August 5, 2022, 5:59 pm
Madiwani Manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundo mbinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi. Wameyasema hayo leo katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa…
July 22, 2022, 11:29 am
Wananchi Kahama watakiwa kushiriki zoezi la sensa
Wananchi Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi litakalofanyika Agosti 23, 2022. Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga leo Julai 21, 2022 wakati akizungumza na HUHESO fm amesema maandalizi…
July 14, 2022, 6:03 pm
Ukarabati wa soko la Malunga kukamilika baada ya wiki mbili
Zoezi la ukarabati miundombinu ya soko la Malunga Mansipaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya gulio linaendelea na linatarajiwa kukamilka wiki mbili zijazo. Akizungumza na Huheso Fm leo julai 14, 2022 Mwenyekiti wa masoko na magulio manispaa ya…
July 6, 2022, 8:02 pm
Maafisa Manispaa ya Kahama wapatiwa pikipiki za utekelezaji majumu yao
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga imegawa jumla ya pikipiki 19 kwa Maafisa kilimo, Bibi maendeleo ya jamii na watendaji katika Kata za Manispaa hiyo Akizungumza baada ya zoezi la ugawaji wa pikipiki hizo Mstahiki Meya wa Manispaa ya…