Huheso FM

Recent posts

July 21, 2023, 1:00 pm

Madiwani Kahama wapongeza kukamilika miradi ya maendeleo

Madiwani wilayani Kahama mkoani Shinyanga wa meipongeza serikali ya awamu ya sita na halmashauri ya wilayani hiyo kwa juhudi za maendelo zinazofanyika katika mwaka wa fedha 2022/2023. Na Misoji Masumbuko, Anas Ibrahim Wameyasema hayo katika kikao cha madiwani cha robo…

July 4, 2023, 10:56 am

Jamii kuishi kwa mazoea chanzo cha magonjwa yasioambukizwa

Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Na Misoji Masumbuko Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia…

July 3, 2023, 12:24 pm

Wajumbe MTAKUWWA wapanga mikakati kupinga ukatili wa kijinsia

Wajumbe wa kamati ya MTAKUWWA wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekutana katika kikao  cha mradi wa Mwanamke Amka ili kujadili mpango kazi ambao utatokomeza ukatili wa kijinsia huku wanaume wakitajwa kuwa ndio chanzo kikubwa kinachochochea ukatili. Na Misoji Masumbuko Akizungumza wakati…

November 17, 2022, 6:29 pm

Wanafufunzi kidato cha nne watakiwa kuepuka udanganyifu

Wanafunzi wa kidato cha nne wilayani Kahama mkoani Shinyanga waliotahiniwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne wametakiwa kuepuka udanganyifu kwenye chumba cha mtihani ulioanza hii leo Novemba 14, 2022. Wito huo umetolewa leo Novemba 14,2022 na mkuu wa…

November 9, 2022, 10:12 am

Wananchi Nyandekwa waunga juhudi za maendeleo

Wananchi wa vitongoji vya kigungumli na baseka vilivyopo nyandekwa  manispaa ya kahama mkoani shinyanga  wameungana kwa ajili ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika maendeleo kwa kuitisha harambee yenye lengo la ujenzi wa shule ya msingi. Hatua…

August 5, 2022, 5:59 pm

Madiwani Manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara

Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri  kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundo mbinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi. Wameyasema hayo leo katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa…

July 22, 2022, 11:29 am

Wananchi Kahama watakiwa kushiriki zoezi la sensa

Wananchi Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi litakalofanyika Agosti 23, 2022. Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga leo Julai 21, 2022 wakati akizungumza na HUHESO fm amesema maandalizi…

July 14, 2022, 6:03 pm

Ukarabati wa soko la Malunga kukamilika baada ya wiki mbili

Zoezi la ukarabati miundombinu ya soko la Malunga Mansipaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya gulio linaendelea na linatarajiwa kukamilka wiki mbili zijazo.   Akizungumza na Huheso Fm leo julai 14, 2022 Mwenyekiti wa masoko na magulio manispaa ya…

Huheso Fm Radio

Vision

As a community servant, HUHESO FM RADIO will cultivate a synergy between art and information through social enterprise and creative programs that link diverse cultural backgrounds by stimulating the mind, body and soul. HUHESO FM RADIO will provide every person with a platform of pulsating perspectives to express themselves within the existing cultural diversities.

HUHESO FM RADIO will be the communities’ hub of information; an innovative and dynamic property of lifelong learning that will be open to all and free from the chains of any type of influence. When curiosity leads an individual to begin a voyage of enlightenment, HUHESO FM RADIO will be his or her vessel propelled by the winds of understanding.

Mission

HUHESO FM RADIO will be an independent, communities-based and, to an extent, a volunteer-run radio station dedicated to serve listeners in Kahama District council and neighboring areas.

In accordance with the HUHESO’s mission, and as partners with communities in the area of its coverage, it will engage itself in the transformation of the lives of people in Kahama District council through the exchange of compelling and enriching ideas using a diverse array of educational, informative and creative broadcast programs and services that engage, inspire and stimulate the empowerment of the communities in matters related to children and other community based affairs.

HUHESO FM RADIO aims to serve with particular regard for those individuals, groups, issues and music that have been overlooked, suppressed or under-represented by other media and to provide a forum for the exchange of cultural and intellectual ideas and music through an intuitive and inspirational approach.

Vibrant communities are well informed and involved, embrace diversity, respectfully share opinions and foster economic and social justice. HUHESO FM RADIO shall also build communities by bringing people together to celebrate the music of the world and give an alternative voice to the communities.

Objectives

With the aforementioned narrations, generally, HUHESO FM RADIO’S objectives are to ensure that there will be prompt and easy access to on- the-air (OTA) news, information, and music as well as other radio programs basing on facts and truth to the general folk in the local communities in Kahama District council.

The objectives are based on the recognition of the fact that in order to bring an alternative voice to the airwaves of Kahama District council and to thrive against current and potential future competition, HUHESO Foundation needs to build a radio that will be heavily influenced by the communities that it works for. Locally produced, alternative programming that covers and responds to local developments and the larger worldwide community is what will differentiate HUHESO FM RADIO from the more broad hand-outs of other public radio station as well as satellite radio and other developing technologies.

AUDIENCE

HUHESO FM Radio programs are dedicated to gratify the entire sectors of life. HUHESO FM RADIO offers a diverse combination of informational, educational and entertainment affairs programming reaching all age and sex groups. As we are going on with our radio programs, an estimated total number of 1.5 to 2 million listeners are reached with our broadcastings throughout our coverage areas.

COVERAGE

All listeners are from:-

Shinyanga

  • Kahama town council
  • Msalala District
  • Ushetu District
  • Shinyanga District

Tabora

  • Nzega District Council
  • Tabora Municipal
  • Urambo
  • Kaliua

Geita

  • Mbogwe District Council
  • Ushirombo District
  • Nyalugusu
  • Bukoli

 Kigoma

  • Kakonko