AFYA
March 15, 2024, 11:47 am
Kishimba aomba tiba bure kwa wananchi kama ilivyo kwenye elimu
”Tunaendelea kuiomba serikali katika swala la matibabu ilitazame kwa jicho la upana sana kuwasamehe watoto shule na matibabu pia iwe bure kwa sababu ni kitu cha lazima” amesema Mbunge Kishimba. Na Neema Nkumbi- Huheso Fm Kituo cha afya Kagongwa kinachohudumia…
July 26, 2021, 6:46 pm
Baiskeli 40 kusaidia kuzuia maambukizi mapya ya Ukimwi
Mabinti wenye umri kati ya miaka 15-24 wa halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga wamepatiwa Baiskeli zaidi ya 36 kwa ajili ya uelimishaji rika juu ya kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi. Baiskeli hizo zimetolewa na shirika la Huheso Foundation…
April 21, 2021, 5:02 pm
TAKUKURU yasimamisha ujenzi jengo la X-RAY halmashauri ya Msalala
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilayani Kahama mkoani Shinyanga imezuia kuendelea ujenzi wa jengo la X-RAY kituo cha Afya Bugarama katika halmashauri ya Msalala kutokana na matofali yanayotumika kuwa chini ya kiwango. Mkuu wa TAKUKURU wilayani Kahama,…