Huheso FM
BIASHARA
July 19, 2021, 7:42 pm
DC Kiswaga: Maonesho ya kibiashara Kahama kuwa ya mfano
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo kiswaga amewaomba wananchi wilayani humo kujitokeza katika maonesho ya Ujasiliamali na wafanybiashara wakubwa na wadogo katika viwanja vya halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani humo. Akizungumza na wandishi wa Habari ofisini kwake…
April 28, 2021, 5:23 pm
Wafanyabiashara Kazaroho Manispaa ya Kahama wamuomba Mkurugenzi kuvunja masoko.
Wafanyabiashara wa soko la Kazaroho wamuomba mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya soko pamoja na kuyaua masoko yaliyopo pembezoni mwa soko hilo yasiyo rasmi. Wakizungumza baadhi ya wafanyabiashara wa soko hilo wamesema awali walitolewa…