Huheso FM

BIASHARA

July 19, 2021, 7:42 pm

DC Kiswaga: Maonesho ya kibiashara Kahama kuwa ya mfano

Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo kiswaga amewaomba wananchi wilayani humo kujitokeza katika maonesho ya Ujasiliamali na wafanybiashara wakubwa na wadogo katika viwanja vya halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani humo. Akizungumza na wandishi wa Habari ofisini kwake…