Huheso FM
DAMU SALAMA
May 13, 2021, 1:01 pm
Wilaya ya Kahama inakabiliwa na uhaba wa damu salama
Hospitali ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga inakabiliwa na uhaba wa damu salama huku wananchi wilayani humo wakiombwa kuendelea kujitokeza kuchangia damu. Hayo yamesema na mratibu wa damu salama hospitali ya Wilaya ya Kahama, God Abdallah amesema uhitaji wa damu…