Huheso FM
HEDHI SALAMA
May 27, 2021, 8:05 pm
Elimu ya hedhi salama kwa wasichana yazidi kutolewa wazazi waungana
Katika kuelekea siku ya hedhi salama duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka mwezi Mei 28 baadhi ya wazazi na walezi wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wameeleza namna wanavyotoa elimu juu ya makuzi kwa watoto wao wa kike. Wakizungumza na Huheso fm mapema…