Huheso FM
MACHINGA
July 19, 2021, 8:00 pm
Machinga walionyang’anywa Matunda yao warejeshewa na Mkuu wa Wilaya
Kufuatia kukamatwa kwa wafanyabiashara wa matunda wa soko la Mkulima na kuonesha Migambo wakigombana na wauza matunda hao mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga ametatua Mgogoro huo. Akiongea na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya CDT mkuu wa Wilaya, Festo…