Huheso FM

MIUNDOMBINU

April 20, 2021, 12:18 pm

Miundo mbinu ya barabara yawa changamoto kwa wananchi

Wananchi wa Mtaa wa Malunga Kata ya Malunga  iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo yao. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na HUHESO FM wananchi wa Mtaa huo wamesema changamoto ya miundombinu ya…