Huheso FM
MIUNDOMBINU
April 28, 2021, 5:33 pm
Wananchi walalamikia miundombinu mibovu ya barabara kwa kukwamisha shughuli zao.
Wananchi wa Mtaa wa Inyanga Kata ya Nyihogo halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuwatengenezea barabara ya kutoka Mhungula kwenda mwime ambayo imeharibika kwa kiwango kikubwa na kuwa changamoto kwao. Wakizungumza wananchi hao wamesema suala la miundombinu…
April 20, 2021, 12:18 pm
Miundo mbinu ya barabara yawa changamoto kwa wananchi
Wananchi wa Mtaa wa Malunga Kata ya Malunga iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo yao. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na HUHESO FM wananchi wa Mtaa huo wamesema changamoto ya miundombinu ya…