Huheso FM
UJAMBAZI
May 31, 2021, 5:44 pm
Jambazi kutoka Dar es salaam auawa Shinyanga
Mtu mmoja anaejulikana kwa jina la Idd Masasi (43) anayedaiwa kuwa Jambazi ameuawa baada ya kupigwa risasi mguuni na mgongoni na askari polisi na alifariki wakati akipatiwa matibabu hospitali ya Mkoa wa Shinyanga. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Kamanda…