Huheso FM

UJAMBAZI

May 31, 2021, 5:44 pm

Jambazi kutoka Dar es salaam auawa Shinyanga

Mtu mmoja anaejulikana kwa jina la Idd Masasi (43) anayedaiwa kuwa Jambazi ameuawa baada ya kupigwa risasi mguuni na mgongoni na askari polisi na alifariki wakati akipatiwa matibabu hospitali ya Mkoa wa Shinyanga. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Kamanda…