Huheso FM

UKATILI

May 25, 2021, 7:25 pm

Watakaofichua taarifa za ukatili wa kijinsia kulindwa

Imeelezwa vitendo vya rushwa katika jamii imekuwa miongoni mwa sababu inayochangia vitendo vya ukatili wa kijinsia kuendelea kutokea katika jamii na kupelekea waathirika wa matukio hayo kukosa haki. Mratibu Taifa wa mtandao wa Utetezi wa haki za Binadam- THRDC Onesmo…