Huheso FM

WAFANYABIASHARA

May 18, 2021, 6:28 pm

Wafanyabiashara wamlalamikia Mkurugenzi Manispaa ya Kahama

Wafanyabiashara wanaozunguka eneo la kituo cha mabasi katika Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamemlalamikia Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuyarudisha mabasi ya abiria katika kituo cha mabasi  iliyokuwa ikikarabatiwa ya CDT. Wakizungumza na waandishi wa habari wafanyabiashara hao…