Huheso FM

WANANCHI

May 18, 2021, 5:54 pm

Wananchi wamlalamikia mwenyekiti wa mtaa wao

Wananchi wa Mtaa wa Bulima Kata ya Seeke Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamemlalamikia mwenyekiti wa mtaa huo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa wananchi hivyo wamemtaka kujiuzulu mara moja. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mtaani hapo wananchi hao…