Community media
18 April 2024, 23:38 pm
Mila ya Jando na unyago inavyo mrudisha nyuma mtoto wa kike kupigania nafasi za…
Jamii ya mikoa ya kusini tangu enzi za mababu wamekuwa na mila ya jando na unyago kwa watoto wa kike na kiume huku dhamira kubwa ilikuwa kuwatengeneza watoto kuwa heshima na busara mbele ya wakubwa hali ambayo imekuwa tofauti kwa…
13 February 2024, 12:01 pm
Redio mara zote zinatoa habari za uhakika – Sharifu Kasimu
Na Msafiri Kipila Jamii FM Radio imepata nafasi ya kuzungumza na Sharifu Kasimu Namkanda mkazi wa kata ya Naliendele mkoani Mtwara, ambaye anaeleza kuwa redio ina umuhimu mkubwa sana kwa jamii hasa kwa watu waliopo vijijini ambako mitandao ya kijamii…
13 February 2024, 11:30 am
Mahitaji ya kupata habari ni makubwa kwa sasa – Said Swallah
Na Grace Hamisi, Amua Rushita Kila ifikapo Februari 13 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya Redio Duniani ambapo huzungumziwa mchango wa redio katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo, changamoto wanazokutanazo jamii na kuziwasilisha kwa wenye mamlaka . Lakini pia redio…
20 October 2021, 18:48 pm
Makala: Nafasi ya wanawake katika Tasnia ya Habari
Wananwake katika tasnia ya habari na Vyombo vya habari ni makala ambayo imeandaliwa ili kuangalia nafasi yake, Fursa na changamoto zilizopo katika mkoa wa Mtwara. Karibu katika makala haya ili uweze kujua masuala mbalimbali yanayofanywa na wanawake katika vyumba vya…
24 March 2021, 11:24 am
Njia yenye mawe yawakimbiza wanafunzi wa kijiji cha Imekuwa
Wananchi wa kitongoji cha Bohari pwani kilichopo kwenye kijiji cha Imekuwa halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wamekubaliana kuwaondoa watoto wote wenye umri wa kuanza shule katika kitongoji hicho na kuwapeleka kwenye kijiji cha Imekuwa ili waweze kupata elimu.…
9 March 2021, 09:19 am
Mkopo Milioni 162.7 wapamba siku ya Wanawake
Wananchi kata ya Nanguruwe wameonesha furaha baada ya kushuhudia baadhi ya vikundi vya wajasiriamali wakipokea mkopo wenye thamani ya Tzs. 162,770,000/= kutoka sehemu ya 10% ya mapato ya ndani ya halmashauri ya Wilaya ya Mtwara unaolenga kuwainua kiuchumi kupitia makundi…
27 February 2021, 11:23 am
TANESCO Mtwara yachapwa goli 3-1 na Veteran Mtwara
Timu ya shirika la umeme Tanzania(TANESCO) Mkoa wa Mtwara, wamechapwa goli 3-1 na timu ya Veteran Mtwara. Mechi hiyo ya mpira wa miguu iliyochezwa leo februari 27, 2021 kwenye viwanja vya bonanza mkoani hapa, TANESCO wamefungwa goli zote tatu katika…
18 February 2021, 10:20 am
Wanufaika wa TASAF Mtwara watakiwa kutumia vizuri elimu ya akiba na mikopo
Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Bi. Zuena G. Myula leo tarehe 17 Februari, 2021 amewataka walengwa wa kaya maskini kuendelea kukutana katika vikundi vyao kwa minajili ya kupeana elimu ya akiba na mikopo pamoja na kufanya marejesho…
7 February 2021, 12:18 pm
Waomba Shule ifunguliwe
Wananchi wa kijiji cha Tangazo halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wameiomba serikali wafungue shule ya sekondari Tangazo kwa kuwa watoto wao wanatembea umbali wa zaidi ya km 20 kwenda na kurudi shule ya sekondari Mahurunga hali inayopelekea baadhi…
5 February 2021, 08:00 am
Madiwani Mtwara fanyeni Kazi za maendeleo
Waheshimiwa madiwani wa manispaa ya mtwara mikindani mkoani Mtwara wametakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano ili kujipatia maendeleo. Hayo yamesemwa na Afisa tawala Idara ya serikali za Mitaa kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa Mtwara Bi Edith Shayo, katika kikao cha…