Jamii FM

Afya

28 June 2021, 06:29 am

WAJIFUNGUA KWA TOCHI MTWARA

Na Karim Faida Wanawake wa kijiji cha Kilombero kata ya Mahurunga mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea umeme katika Zahanati ya kijiji hicho kwa kuwa wanapitia mazingira Magumu ya kujifungualia kwa mwanga wa tochi za simu majira ya usiku na nguzo…

15 May 2021, 19:43 pm

Tutawapa bima za afya; Kaimu mganga mkuu

Na Karim Faida. Kaimu Mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Dkt Mathayo malaika amesema anashughulikia bima za afya za CHF kwa kaya moja masikini inayopatikana katika kijiji cha Namuhi kata ya Libobe Halmashauri ya wilaya ya Mtwara baada…

4 February 2021, 08:55 am

TADIO kupambana na Magonjwa ya mlipuko

Shirika la Habari za Maendeleo Tanzania (TADIO) limeanza kusambaza vifaa vya kujikinga na magonjwa ya mlipuko vilivyotolewa na UNESCO Dar Es Salaam Office kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania kwa vituo vya redio jamii chini ya mwamvuli wa TADIO.Vifaa hivi…

10 November 2020, 18:27 pm

Athari ya uzazi wa mpango kwa mabinti wadogo

Hujambo, karibu kusikiliza kipindi Maalum kinachoangazia Athari za utumiaji wa Dawa za uzazi wa mpango kwa mabinti wenye umri mdogo ambao wanatumia sindano na vidonge ili kujikinga na ujauzito bila kujua athari zake. Hapa utawasikia mabinti, wazazi na Daktari Deogratius…