Jamii FM
Amani
16 April 2021, 07:46 am
Tuilinde Amani kwa nguvu
Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wameaswa kuendelea kuilinda amani kwa maslahi ya mtu mmoja mmoja, Mkoa na Taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa jana April 14 2021 na Diwani wa kata…