Jamii FM

Dangote

28 February 2021, 10:14 am

DANGOTE kupiga tafu miradi ya Milioni 648 Mtwara Vijijini

Kiwanda cha saruji DANGOTE Mtwara tarehe 26 Februari, 2021 kimeingia makubaliano maalum na halmashauri ya wilaya ya Mtwara kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya milioni 648 katika sekta ya elimu, afya, maji na michezo. Makubaliano hayo yamefanyika…