Jamii FM
Dangote
8 July 2021, 16:17 pm
Mtu mmoja afariki na wengine 11 majeruhi kwenye ajali kiwandani Dangote
Na Gregory Millanzi, MTU mmoja amefariki Dunia, watatu hali zao siyo nzuri na wengine nane kujeruhiwa kufuatia ajali iliyookea kwenye Kiwanda cha kuzalisha Saruji (DANGOTE ) kilichopo Kijiji cha Hiyari halmashauri ya Wilaya ya Mtwara. Tukio hilo limetokea Julai 7…
28 February 2021, 10:14 am
DANGOTE kupiga tafu miradi ya Milioni 648 Mtwara Vijijini
Kiwanda cha saruji DANGOTE Mtwara tarehe 26 Februari, 2021 kimeingia makubaliano maalum na halmashauri ya wilaya ya Mtwara kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya milioni 648 katika sekta ya elimu, afya, maji na michezo. Makubaliano hayo yamefanyika…