Jamii FM

EDUCATION

1 December 2020, 11:59 am

Kampeni ya kugawa Taulo za kike kwa Wanafunzi Mtwara yaanza

Moja kati ya changamoto kubwa inayowakumba  watoto wakike walioko shuleni  hadi kupelekea kujiingiza katika mahusiano wakiwa na umri mdogo ni suala la upatikanaji wa taulo za kike, hii imekuwa changamoto kubwa kwa mabinti wengi. Kwa kulitambua hilo  Mwanaidi Simba  Kutoka…

8 November 2020, 14:43 pm

Athari za ulaji wa Udongo kwa Wanawake wajawazito

 Wanawake wajawazito wanautamaduni wa kula udongo bila kujua athari zake, hapa utawasikia wanawake na Daktari akielezea athari hizo kwa mama na mtoto aliye tumboni. Karibu kwenye kipindi maalum, Muandaaji na msimulizi wako ni Karim Faida wa jamii fm radio Mtwara.