EDUCATION
16 January 2021, 13:15 pm
Mkoa wa Mtwara waomba Baraza la mitihani kukanusha Matokeo mtandaoni
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mh. Gelasius Byakanwa amesema taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha kwamba shule 10 za mwisho kitaifa za kidato cha nne tisa ni kutoka mkoa wa Mtwara sio za kweli na kwamba hazihusiani na matokeo…
1 December 2020, 11:59 am
Kampeni ya kugawa Taulo za kike kwa Wanafunzi Mtwara yaanza
Moja kati ya changamoto kubwa inayowakumba watoto wakike walioko shuleni hadi kupelekea kujiingiza katika mahusiano wakiwa na umri mdogo ni suala la upatikanaji wa taulo za kike, hii imekuwa changamoto kubwa kwa mabinti wengi. Kwa kulitambua hilo Mwanaidi Simba Kutoka…
10 November 2020, 05:53 am
Ukataji wa miti hovyo unavyoweza kusababisha kukausha vyanzo vya maji.
Wapo wanaokata miti kwa shughuli mbalimbali kama vile kutengeneza mkaa, kujengea nyumba, kuchana mbao huku athari zake zikiwa ni pamoja na kukausha vyanzo vya maji. Hapa utawasikia wananchi na Meneja wa wakala wa misitu wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara Nchini…
8 November 2020, 14:43 pm
Athari za ulaji wa Udongo kwa Wanawake wajawazito
Wanawake wajawazito wanautamaduni wa kula udongo bila kujua athari zake, hapa utawasikia wanawake na Daktari akielezea athari hizo kwa mama na mtoto aliye tumboni. Karibu kwenye kipindi maalum, Muandaaji na msimulizi wako ni Karim Faida wa jamii fm radio Mtwara.
19 October 2020, 11:10 am
Wanafunzi wa Mtwara vijijini waomba kupewa fedha za taulo za kike
Baadhi ya Wanafunzi wa kike mkoani mtwara wamewataka wazazi kutenga bajeti kwa ajili kununua taulo za kike, ikiwa ni moja ya njia ya kutokomeza mimba za utotoni. Wakizungumza na jamii fm radio wanafunzi hao wamesema kuwa ukosefu wa taulo za…