Elimu
17 February 2022, 23:46 pm
SDA yapaza sauti juu ya unyanyasaji wa kijinsia
Na Amua Rushita Shirika la maendeleo ya michezo (SDA) Mtwara kupitia mradi wa kuwawezesha wabinti kupaza sauti, wameendesha Semina ya siku mbili juu ya kuwapa elimu ya namna ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa…
4 December 2021, 23:15 pm
Mkuchika Awataka wazazi kuchangamkia fursa ya elimu
“Hali ya Elimu kwa Wilaya ya Newala hasa kwa Kidato cha sita tumekuwa Tukifanya vizuri kwa muda sasa, kwa matokeo ya Kidato cha sita Shule ya Kiuta ambayo ina Wasichana pekee yake kwa kidato cha tano na sita na shule…
16 April 2021, 07:39 am
Mwenyekiti awasaka wanafunzi majumbani
Mwenyekiti wa mtaa wa Geza ulole kata ya Majengo Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara Ndugu Jafari Likulangu Amekuwa na utaratibu wa kupita nyumba hadi nyumba kufuatilia mwenendo wa masomo kwa wanafunzi wa mtaa wake kwa kukagua daftari zao. Mwenyekiti…
25 February 2021, 06:35 am
Wataalamu wa Elimu wafanya ufuatiliaji Mtwara Vijijini
Timu ya wataalamu ikiongozwa na Afisa elimu Msingi Mwl. Adam Shemnga Jana Tarehe 24 Februari, 2020 wamefanya ufuatiliaji na ukaguzi wa maendeleo ya kitaaluma katika Shule kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye Sekta hiyo Mtwara Vijijini. Ukaguzi huo umelenga kufuatilia…
24 February 2021, 04:33 am
Waziri Silinde aridhishwa na ujenzi wa Bweni “Sabodo High School”
Naibu waziri OR-TAMISEMI anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde (Mb) ameipongeza timu ya menejimenti ya Halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa usimamizi thabiti wa ujenzi wa madarasa mawili na bweni katika Shule ya Sekondari Mustafa Sabodo ikiwa ni maboresho kuelekea kuanza…
7 February 2021, 12:18 pm
Waomba Shule ifunguliwe
Wananchi wa kijiji cha Tangazo halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wameiomba serikali wafungue shule ya sekondari Tangazo kwa kuwa watoto wao wanatembea umbali wa zaidi ya km 20 kwenda na kurudi shule ya sekondari Mahurunga hali inayopelekea baadhi…
7 February 2021, 11:06 am
TANESCO Mtwara watoa elimu kwa wajasiliamali
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mtwara, wametoa elimu ya matumizi sahihi ya umeme kwa wajasiliamali mkoani hapa baada ya kuwatembelea kwenye sehemu zao za Biashara Manispaa ya Mtwara Mikindani. Akitoa elimu hiyo mhandisi Aurea Bigirwamungu ambae ni afisa…
10 November 2020, 18:27 pm
Athari ya uzazi wa mpango kwa mabinti wadogo
Hujambo, karibu kusikiliza kipindi Maalum kinachoangazia Athari za utumiaji wa Dawa za uzazi wa mpango kwa mabinti wenye umri mdogo ambao wanatumia sindano na vidonge ili kujikinga na ujauzito bila kujua athari zake. Hapa utawasikia mabinti, wazazi na Daktari Deogratius…
10 November 2020, 17:49 pm
TADIO yawahasa Wanahabari kutoandika Habari za uchochezi
Waandishi wa habari hususan wa redio za kijamii Tanzania wametakiwa kuandika habari za kudumisha Amani nchini na kuacha kupendelea kuandika habari za uchochezi na zenye kuleta taaruki. Wito huo umetolewa leo na Mwezeshaji wa mafunzo ya kujenga Amani hasa baada…