Jamii FM

Maendeleo

5 February 2021, 08:00 am

Madiwani Mtwara fanyeni Kazi za maendeleo

Waheshimiwa madiwani wa manispaa ya mtwara mikindani mkoani Mtwara wametakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano ili kujipatia maendeleo. Hayo yamesemwa na Afisa tawala Idara ya serikali za Mitaa kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa Mtwara Bi Edith Shayo, katika kikao cha…