Jamii FM

Maji

21 May 2021, 04:52 am

Mwaka wa 7 hatuna maji safi na salama

Na Karim Faida. Wananchi wa Kijiji cha Lyowa kata ya Muungano halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mkoani hapa, wameiomba serikali kupitia Wakala wa usambazaji maji na usafi wa masingira RUWASA, kuwarekebishia mradi wao wa maji maarufu kama Mradi wa maji…