Maji
3 December 2021, 15:51 pm
Halmashauri kuu CCM Newala watoa azimio la kero ya Maji kwa serikali
“Baada ya kuona Hali ya Maji Wilaya ya Newala inaporomoka poromoka kila mwaka, na wakati mwingine wakati Nagombea Ubunge Maji huwa yanapatikana kwa asilimia 60, Wabunge wote wa Mtwara tulikubaliana kuonana na Waziri wa Maji na tukampa kilio chetu, Waziri…
21 May 2021, 04:52 am
Mwaka wa 7 hatuna maji safi na salama
Na Karim Faida. Wananchi wa Kijiji cha Lyowa kata ya Muungano halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mkoani hapa, wameiomba serikali kupitia Wakala wa usambazaji maji na usafi wa masingira RUWASA, kuwarekebishia mradi wao wa maji maarufu kama Mradi wa maji…
17 February 2021, 09:59 am
Madiwani Manispaa ya Mtwara watembelea miradi ya Maji MTUWASA
Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani wamefanya ziara ya kuangalia miradi na vyanzo vya maji vya Mamlaka ya Maji safi na maji taka mjini Mtwara (MTUWASA) kwa lengo la kujifunza na kuona namna ya ufanisi wa kazi wa…