Jamii FM
Miradi
18 April 2021, 10:20 am
Wanakijiji wahamasishwa kushiriki kwenye miradi
Na Karim Faida Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani hapa wametakiwa kushiriki kikamilifu katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayoletwa katika kijiji chao ili kuharakisha miradi hiyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika…