Jamii FM

Miundombinu

25 March 2024, 17:26 pm

TPA yaiomba serikali Bandari ya Mtwara kuunganishwa na Reli

Changamoto zinazoikabili Bandari ya Mtwara ni kutokuunganishwa na miundombinu ya Reli pamoja na Barabara ya Mtwara –Dar es Salaam kutokuwa vizuri kuwezesha Bandari hiyo kuunganishwa na miundombinu  hiyo. Na Musa Mtepa Naibu mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usimamizi wa Bandari…

11 January 2021, 16:22 pm

Mtwara wahakikishiwa huduma bora za maji

Waziri wa Maji Juma Aweso amefanya ziara ya kikazi ya siku Moja Mkoani Mtwara kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na amewahakikishia wananchi wa Mtwara hatakuwa na kikwazo katika kuwaletea huduma bora za Maji safi na salama. Waziri Aweso ameyasema…

10 January 2021, 06:53 am

Dangote kuanza uzalishaji tena Jumatatu 11.01.2021

Uongozi wa kiwanda cha Saruji DANGOTE CEMENT Mtwara umesema jumatatu ya Januari 11, 2021 wataanza uzalishaji wa Saruji baada ya kukamilika kwa matengenezo ya baadhi ya mitambo iliyopata itirafu. Hayo yamethitishwa na Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mh. Gelasius Byakanwa…

2 November 2020, 13:07 pm

Wanakijiji waomba umeme na maji.

Wananchi wa kijiji cha maili kumi kata ya Mbawala Halmashauri ya wilaya ya Mtwara wameomba kupatiwa huduma ya maji na nishati ya umeme kwenye kijiji chao, hali ambayo imekuwa ikiwachelewesha maendeleo  na kudumaza hali ya kijiji. Nishati ya umeme imepita…