Miundombinu
25 March 2024, 17:26 pm
TPA yaiomba serikali Bandari ya Mtwara kuunganishwa na Reli
Changamoto zinazoikabili Bandari ya Mtwara ni kutokuunganishwa na miundombinu ya Reli pamoja na Barabara ya Mtwara –Dar es Salaam kutokuwa vizuri kuwezesha Bandari hiyo kuunganishwa na miundombinu hiyo. Na Musa Mtepa Naibu mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usimamizi wa Bandari…
11 January 2022, 16:49 pm
Manispaa ya Mtwara Mkindani yapitisha Rasimu ya Bajeti ya TARURA zaidi ya shilin…
Hali ya Barabara zinazosimaniwa na TARURA ni ya kuridhisha, japo mtandao wa barabara kwa asilimia kubwa ni barabara za udongo ambazo huathiriwa kwa kiasi kikubwa kipindi cha mvua. Mhandisi Hatibu Nunu Na Gregory Millanzi Baraza la Madiwani la Halmashauri ya…
5 February 2021, 07:44 am
Wananchi wa Mtiniko waipongeza serikali kwa kupata nishati ya umeme
Wananchi wa kijiji cha Mtiniko Halmashauri ya mji Nanyamba mkoani mtwara wameipongeza serikali kwa kuwapelekea huduma ya umeme wa REA na kusema uwepo wa umeme huo umesaidia kuinua kipato cha wakazi hao kwa kuwepo kwa viwanda vidogovidogo mitaani. Akiongea na…
11 January 2021, 16:22 pm
Mtwara wahakikishiwa huduma bora za maji
Waziri wa Maji Juma Aweso amefanya ziara ya kikazi ya siku Moja Mkoani Mtwara kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na amewahakikishia wananchi wa Mtwara hatakuwa na kikwazo katika kuwaletea huduma bora za Maji safi na salama. Waziri Aweso ameyasema…
10 January 2021, 06:53 am
Dangote kuanza uzalishaji tena Jumatatu 11.01.2021
Uongozi wa kiwanda cha Saruji DANGOTE CEMENT Mtwara umesema jumatatu ya Januari 11, 2021 wataanza uzalishaji wa Saruji baada ya kukamilika kwa matengenezo ya baadhi ya mitambo iliyopata itirafu. Hayo yamethitishwa na Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mh. Gelasius Byakanwa…
2 November 2020, 13:07 pm
Wanakijiji waomba umeme na maji.
Wananchi wa kijiji cha maili kumi kata ya Mbawala Halmashauri ya wilaya ya Mtwara wameomba kupatiwa huduma ya maji na nishati ya umeme kwenye kijiji chao, hali ambayo imekuwa ikiwachelewesha maendeleo na kudumaza hali ya kijiji. Nishati ya umeme imepita…