Jamii FM

TANESCO

9 March 2021, 11:57 am

Umeme upo wakutosha Mtwara na Lindi – TANESCO

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mtwara limesema kwa sasa uzalishaji wa umeme Mtwara na Lindi umeongezeka na kupita kiwango cha matumizi ya mikoa hii ya Lindi na Mtwara na wanahakikisha kila mwananchi ananufaika na nishati hii ya umeme.…

27 February 2021, 11:23 am

TANESCO Mtwara yachapwa goli 3-1 na Veteran Mtwara

Timu ya shirika la umeme Tanzania(TANESCO) Mkoa wa Mtwara, wamechapwa goli 3-1 na timu ya Veteran Mtwara. Mechi hiyo ya mpira wa miguu iliyochezwa leo februari 27, 2021 kwenye viwanja vya bonanza mkoani hapa, TANESCO wamefungwa goli zote tatu katika…