TASAF
28 February 2021, 10:46 am
“Wawezeshaji mmeaminiwa kafanyeni kazi” :- Mkurugenzi Mtwara Dc
Kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Bw. Maisha S. Mtipa tarehe 27 Februari, 2021 amewataka wawezeshaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia TASAF kuwajibika kwa walengwa huko vijijini kwakuwa serikali imewaamini. Ameyasema hayo wakati wa kufunga mafunzo…
24 February 2021, 04:45 am
Wawezeshaji TASAF wasisitizwa kutumia weledi uibuaji miradi
Timu ya wataalamu wa sekta mbalimbali halmashauri ya wilaya mtwara imeendelea na mafunzo ya siku sita yatakayowawezesha kusaidia uibuaji wa miradi ya kipindi cha ari kwa walengwa wa kaya maskini kupitia mradi wa TASAF kunusuru kaya maskini awamu ya tatu…
18 February 2021, 10:20 am
Wanufaika wa TASAF Mtwara watakiwa kutumia vizuri elimu ya akiba na mikopo
Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Bi. Zuena G. Myula leo tarehe 17 Februari, 2021 amewataka walengwa wa kaya maskini kuendelea kukutana katika vikundi vyao kwa minajili ya kupeana elimu ya akiba na mikopo pamoja na kufanya marejesho…