Jamii FM

TASAF

24 February 2021, 04:45 am

Wawezeshaji TASAF wasisitizwa kutumia weledi uibuaji miradi

Timu ya wataalamu wa sekta mbalimbali halmashauri ya wilaya mtwara imeendelea na mafunzo ya siku sita yatakayowawezesha kusaidia uibuaji wa miradi ya kipindi cha ari kwa walengwa wa kaya maskini kupitia mradi wa TASAF kunusuru kaya maskini awamu ya tatu…