Jamii FM

Umeme

25 November 2021, 13:17 pm

Mafundi umeme wa Mtwara na Lindi wapewa elimu

Nawaomba wananchi kuwatumia mafundi Umeme walio na leseni, wao ndio wenye ufanisi wa kazi ambao tunawatambua na itasaidia endapo mtu utapata changamoto una uwezo wa kuja EWURA kufungua malalamiko tofauti na yule ambae amefanyiwa kazi na fundi ambae hana leseni.…

28 June 2021, 06:29 am

WAJIFUNGUA KWA TOCHI MTWARA

Na Karim Faida Wanawake wa kijiji cha Kilombero kata ya Mahurunga mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea umeme katika Zahanati ya kijiji hicho kwa kuwa wanapitia mazingira Magumu ya kujifungualia kwa mwanga wa tochi za simu majira ya usiku na nguzo…

5 May 2021, 12:33 pm

Bodi ya wakurugenzi TANESCO yafanya zira Mtwara

Na Gregory Millanzi Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Dkt Alexander Kyaruzi akiambatana na wajumbe wa bodi hiyo, amewataka wawekezaji kuwekeza Mtwara na Lindi kutokana na uwepo wa Nishati ya umeme wa kutosha. Amesema kuwa…