Kahama FM
SHINYNGA
April 19, 2021, 8:05 am
Babu wa miaka 53 Ambaka mjukuu wake wa miaka 7 wakati mkewe akiwa Hospitali.
WAKATI Taifa na wanaharakati mbalimbali wakiendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, matukio ya udhalilishaji na ukatili kwa watoto yameendelea kuripotiwa mkoani Shinyanga. Ambapo, Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Juma Emmanuel (53) mkazi wa…