Kahama FM
23kj
April 29, 2021, 10:08 am
Kikosi cha 23 KJ Kimehitimisha mafunzo rasmi ya Sambalatisha Adui.
Jeshi la wananchi wa Tanzania kikosi cha 23 KJ limehitimisha mafunzo rasmi ya sambalatisha adui yaliyolenga kujikumbusha mbinu mbalimbali za kivita ikiwa ni pamoja na kujiweka timamu kila wakati ili kuendelea kulinda mipaka ya nchi . Mkuu wa shule ya ifantiria Brigedia Jenerali Selemani Gwaya ambaye…