Kahama FM

23kj

April 29, 2021, 10:08 am

Kikosi cha 23 KJ Kimehitimisha mafunzo rasmi ya Sambalatisha Adui.

Jeshi la wananchi wa Tanzania  kikosi cha 23 KJ  limehitimisha mafunzo rasmi ya sambalatisha adui  yaliyolenga kujikumbusha mbinu mbalimbali za kivita  ikiwa ni pamoja na kujiweka timamu kila wakati  ili kuendelea kulinda mipaka ya nchi . Mkuu wa shule ya ifantiria Brigedia Jenerali  Selemani Gwaya ambaye…