Kahama FM
biashara
July 19, 2021, 2:35 pm
KAHAMA:Wafanyabiashara wakoshwa na serikali ya awamu ya Sita,Wasema kazi iendele…
KAHAMA: Wafanyabiashara MANISPAA ya Kahama Mkoani Shinyanga wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita chini ya RAIS Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa nguvu ya kufanya biashara zao kwa uhuru na kufuata taratibu za Serikali. Hayo yamebainishwa leo na Mkurugenzi wa Kampuni…
May 26, 2021, 7:42 am
Wafanyabiashara wa Soko la Sango Kahama waiomba serikali Kuboresha Miundombinu.
Wafanyabiashara katika eneo la PHATOMU wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuboresha miundombinu katika soko la SANGO lililopo kata ya NYASUBI manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, baada ya kuondolewa katika eneo hilo, na Mtendaji wa kata, na kutakiwa kwenda katika…